falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #21
CCM chaliiii
mazishi makaburi ya chimwaga
CCM chaliiii
Kila kitu kinawezekana, anaweza hamia ukawa na asifuatwe, akaja peke yake. Cha muhimu atuambie ajenda yake ni nini!! Na wale rafiki zake watakuwa na nafasi gani katika maamuzi na utendaji kazi wake...!!
Huenda ulikuwa na facts, hebu pangilia vizuriAcheni kujifariji. CCM ni Taasisi kubwa. Labda hao wakubwa wagawanyike kutokana na tukio la EL kuhama. Sanasana kuna watu watakuwa njia panda wakati wa uchaguzi, hususan wale wapenzi wake ambao pia wanaipenda CCM na wasingependa kuhama.
Wengi watakimbilia hapa KenyaHuo ndio ukweli, CCM inakufa na Oktoba ndio mwisho wao Ikulu....
ni wakati wa ccm kugeuka chama cha upinzani
Hata mimi mkuu, natamani sanaNatamani kuiona CCM inayoparaganyika ikiwa mikononi mwa Prof. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
CCM mwaka huu hata kwa goli la Mkono hawatashinda