CCM kama KANU vile ndiyo bye bye forever! hahaaaaaaaaaa!!!:wave:
CCM kama KANU vile ndiyo bye bye forever! hahaaaaaaaaaa!!!:wave:
Kwa sasa kikubwa ni kuiondoa thithiemu, mengine tutajadili baadae, kama akitoka huyu, hata ajaye atatoka tu
hadi mshirika wake mkuu humu jf ndugu MUSSA ALLAN kahamia chadema
Semeni yote lakini Lowasa ndio hivo tena. Hata usipompenda ndio anaweza kuwa mgombea. sipati picha mapambano kati ya rivals hao Magufuli na Ngoyai
Weka akiba kidogo ya Maneno. Siasa ni kama Mpira. Usije ukakanusha maneno yako!
kinana mwenyewe yuko team lowasa...sema lini ulishawahi kumsikia kinana akimkoromea au hata kumkosoa rais lowasa wakati akiwa ccm?....
Pia jk mwenyewe alitambulishwa kama kampen manager wa el huko pwani na hajawahi kukanusha...
Hongera jk kwa mpango mkakati wa kuing'oa ccm madarakani na kuwarudishia wananchi tanganyika yetu.
ilifikia had I hatua hii
.
Kama wanavyo kanusha sasa kwamba Lowassa sio Fisadi???
Lakini sio ajabu kwa Mbwa kula matapishi yake!!!!!!!
Pesa mbaya sana.
Kama wanavyo kanusha sasa kwamba Lowassa sio Fisadi???
Lakini sio ajabu kwa Mbwa kula matapishi yake!!!!!!!
CCM mwaka huu hata kwa goli la Mkono hawatashinda
Nape Nnauye sasa anatafuta nchi ya kukimbilia
Goli la mkono mwisho guest na bafuni.
CCM mwaka huu hata kwa goli la Mkono hawatashinda