Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

hatuombi vibaya! / namuhurumia kinana

wamempa kazi ngumu kweli/

kinana mwenyewe yuko team lowasa...sema lini ulishawahi kumsikia kinana akimkoromea au hata kumkosoa rais lowasa wakati akiwa ccm?....

Pia jk mwenyewe alitambulishwa kama kampen manager wa el huko pwani na hajawahi kukanusha...

Hongera jk kwa mpango mkakati wa kuing'oa ccm madarakani na kuwarudishia wananchi tanganyika yetu.
 
kinana mwenyewe yuko team lowasa...sema lini ulishawahi kumsikia kinana akimkoromea au hata kumkosoa rais lowasa wakati akiwa ccm?....

Pia jk mwenyewe alitambulishwa kama kampen manager wa el huko pwani na hajawahi kukanusha...

Hongera jk kwa mpango mkakati wa kuingoa ccm madarakani na kuwarudishia wananchi tanganyika yetu.

ama kwa hakika wewe ni mfuatiliaji kuntu
 
Siasa jamani, Zito alipohamia ACT mengi yalizungumzwa. lowasa kahamia chadema mengi yanasemwa. Uhalisia upo, tusubiri tutashuhudia wenyewe.
 
Semeni yote lakini Lowasa ndio hivo tena. Hata usipompenda ndio anaweza kuwa mgombea. sipati picha mapambano kati ya rivals hao Magufuli na Ngoyai
 
Jamani twende mbele turudi nyumba...ccm ni chama kongwe bila mpasuko wa ndani ni ndoto kukitoa madarakani.....mie ni tomaso kwakweli mpaka takapoona mamvi kachukua kadi upinzani ndo taamini mfumo fisadi unaenda anguka.....

Team lumumba njooni tujenge nchi ndani ya mfumo mpya....tubadilishe katiba ya wananchi kulingana na maaoni ya jaji Warioba....

hahaha.....kushakucha shuka halina umuhimu saaaana
 
Siasa jamani, Zito alipohamia ACT mengi yalizungumzwa. lowasa kahamia chadema mengi yanasemwa. Uhalisia upo, tusubiri tutashuhudia wenyewe.

zito na lowasa ni watu wawili tofauti
 
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.

Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.

1. Kwani kazi ya wapinzani ni kuleta maendeleo? sasa chama tawala na serikali yake wao watafanya nini?
2. WanaCDM ndiyo wamemwalika Lowasa, wewe mbona unaumia wakati wewe CCM? Au jana hukuona votes za JF?
 
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.

Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.

chadema wako sahihi kaka. huyu ameitwa fisadi mda mrefu sasa ni muda mzuri wa ccm kuonyesha ufisadi wake kwa kumkamata.
 
1. Kwani kazi ya wapinzani ni kuleta maendeleo? Sasa chama tawala na serikali yake wao watafanya nini?
2. Wanacdm ndiyo wamemwalika lowasa, wewe mbona unaumia wakati wewe ccm? Au jana hukuona votes za jf?

uchu wa madaraka ndo umempeleka huko chadema. Chadema ni chama makini hawawez kumfuata bali kajipeleka na sio kwa wamachama wote bali amemtumia mbowe ambaye ni rahisi kununulika
 
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.

Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.

We call it democracy. Basicaly,ni haki ya msingi kabisa mtu kujiunga na chama chochote cha siasa. Sidhani kama Mwenyekiti wa chama anaelekezwa na katiba ya chama kuwa uamuzi wa kupokea wanachama/mwanachama unahitaji ridhaa ya wanachama (party approval).
 
CCM kama KANU vile ndiyo bye bye forever! hahaaaaaaaaaa!!!:wave:
 
we call it democracy. Basicaly,ni haki ya msingi kabisa mtu kujiunga na chama chochote cha siasa. Sidhani kama mwenyekiti wa chama anaelekezwa na katiba ya chama kuwa uamuzi wa kupokea wanachama/mwanachama unahitaji ridhaa ya wanachama (party approval).

tunachotaka ni chadema kuonesha utakatifu wa EL na sio vinginevyo. Kama hawatafanya hivyo nitaendelea kuwaita wanafiki
 
Ni nzuri sana maana makundi yaliyokuwa yananua uongozi kwa pesa hayatakuwepo tena baada ya mmamvi kuondoka. Bright future blinking
 
Back
Top Bottom