Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mtaiota kuichukua hii nchi nyie na vizazi vyenu hamtoipata !:majani7::majani7::majani7:
Mtaiota kuichukua hii nchi nyie na vizazi vyenu hamtoipata !:majani7::majani7::majani7:
Unapakatwa wewe na subirini 2015 uone tunavyowahukumu nyie mbwa kokoMtaiota kuichukua hii nchi nyie na vizazi vyenu hamtoipata !:majani7::majani7::majani7:
Yaani dogo anafeel strong kweli hapo
Mtaiota kuichukua hii nchi nyie na vizazi vyenu hamtoipata !:majani7::majani7::majani7:
Mkuu kwa mtizamo wangu naona ingesomeka "Future of TZ is in OUR hands" (The people). Lakini inawezekana pia kuna ujumbe maalumu kwenye hiyo picha ambao sijaupata vizuri. Mi nafikiri kuna viongozi wengi wa CCM waliingia CDM kwasababu ya upepo wa CDM lakini sio kwamba wanauchungu na nchi hii e.g. Shibuda etc. Sasa kwenye future watanzania lazima tuliangalie hili, mtu asichaguliwe kwaajili ya Chama bali historia/reputation. Je commitment zake ni kwa nchi au yeye binafsi. Wewe fikiria Nape angeingia CDM akapata ubunge kwa jina la CDM si ingekua hatari hii (Just my opinion). Hii culture yakwenda kituoni mtu anatafuta chama fulani ndio aweke alama ya tiki ndio imefanya tumekua na watu kama Rostam, John Komba, Prof Maji Marefu etc. toka season moja hadi nyingine hawaongei chochote zaidi ya kulala tu.