Mkuu kilingeni mnatuuzia hizo sisi tunaona mishkaki ya nundu.
Kwa mantiki hiyo, haiwezekani kutokea njaa huko kwani mawe hayo si unaweza kuyarudishia tena na tena jikoni bila ukomo au ndiko ulikoanzia msemo ule wa supu ya mawe?Chakula cha mawe" nchini China ni chakula cha kitamaduni kinachoitwa Suodiu (嗦丢), ambapo mawe madogo ya mtoni yanakaangwa na viungo kisha unanyonya ladha yake na kuyatema bila kuyameza. Chakula hiki kimepewa jina la utani kama "chakula kigumu zaidi duniani" kwa maana halisi ya neno kuliko vyakula vyote.
Sasa hawapiki mawe tu bali vingine vingi tuu visivyo na uhaiView attachment 3652563