The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 539
- 930
Wakuu amani iwe kwenu.
Naomba nisaidiwe kujua fursa za mazao ya bustani mkoani dodoma, yaani je uhitaji upo wa mbogamboga kama mchicha, chainizi, spinach, majani ya kunde n.k.
Naomba pia kujua maeneo gani wanakodisha mashamba ya bustani, hasa panapopatikana maji kwa wingi, bei zake, barabara ikoje.
Nilitaka kuhamia Dodoma, nikafanye kazi hiyo sasa kabla ya kwenda ningepata taarifa hizi ingenisaidia nipango yangu.
Asanteni.
Naomba nisaidiwe kujua fursa za mazao ya bustani mkoani dodoma, yaani je uhitaji upo wa mbogamboga kama mchicha, chainizi, spinach, majani ya kunde n.k.
Naomba pia kujua maeneo gani wanakodisha mashamba ya bustani, hasa panapopatikana maji kwa wingi, bei zake, barabara ikoje.
Nilitaka kuhamia Dodoma, nikafanye kazi hiyo sasa kabla ya kwenda ningepata taarifa hizi ingenisaidia nipango yangu.
Asanteni.