Kivip bro?Mkuu umenifungua machooo
inakua vema kama ukiweka ni biashara ganiAiseeeee......
Ukitaka kifanya biashara, njoo kahama.
Kahama kuna mzunguko mkubwa wa pesa ndio sababu karibia kila aina ya biashara inatoka
Kama Una Mtaji Dodoma Ni Wekeza restaurant Kubwa, Guest house, Super Market n.kVepe Dodoma jaamani biashara gani inafaa
Kwanza ulitakiwa useme aina ya biashara ambayo unafikiria kuifanya. Baada ya hapo ndipo nitakushauri kwa kuanzia kwenye pendekezo lakoKivip bro?
inakua vema kama ukiweka ni biashara gani
Naipendelea simiyu zamani(bariadi)ni mji unaoanza kuwa.naona watu wengi wanafanya biashara hasa za nguo,mazao na mengineyo.ila biashara za pale ni za msimu.
Kwa kua ni mji unaokua na kuona wajenzi wengi wanapenda tofali za kuchoma nikajaribu kwa mtaji mdogo tu
Tofali bichi sh.7@1
Kuni sh 50000 mapori mengi
Usafiri 20000 wa tela la ngombe. kuleta maji 10000.
Eneo nilipewa bure bada ya biashara niliwapa 20000 ya shukrani tu.
Wa kuchoma na kupanga niliwapa lak 1.
Nilichoma tofali 10000.
Mahesabu ni
7×10000+50000+20000+20000+100000+10000=370000
Mtaji ni 370000 fanya kuna tofal zitaharibika so weka 30000.pesa yote ya mtaji ni lak 4 mpaka tofali kuiva teyar kwa kuuzwa.
TWENDE KWENYE BIASHARA SASA
minimum tofali moja 120tsh
120×10000=1200000tsh
Kama bei ya kawaida 150 tsh
150×10000=1500000tsh
Ukitoa mtaji jibu utakua nalo umebaki na faida ya sh. Ngap
MUHIMU
hii biashara ni ya wakati wote ila bei zinapanda tokana na msimu.msimu wa mvua ndo tofali haikamatiki.msimu wa kiangazi bei inakua chini mana wapiga tofali ni wengi sana.
CHANGAMOTO
biashara hii siyo ya hapo kwa papo wakati mwingine inachukua mda mpaka kuja kuuza so kama huna shughuli ingine utataabika mzee.
Kama biashara yako itakua ni ya huakika na kuaminika utakula tenda nyingi mkuu na hizo ndo zinalipa hakuna mfano.sababu ukiweka mtaji mkubwa na faida inakua kubwa mfano ukiweka tofali laki moja faida utaipenda zaidi.
Pia kuna wale wanunuzi watofal chache chache hawanunui tanuru nzima waepuke wanavuruga malengo
Note:hii biashara nilifanya 2014 sijui kwa sasa bei zikoje
KOKOTO ulipo pana faa ila jielekeze kwenye Biashara ya hisa za Vodacom kwa mwaka huu ndio habari ya mjiniWapendwa ni muda sasa nawaza wapi panafaa kwa biashara na mzunguko wake wa pesa ni mkubwa kulinganisha na mahala pengine.
Toa mji wa mamwinyi TANGA
Hapo vipi ebu nijuzeee 0754010296KOKOTO ulipo pana faa ila jielekeze kwenye Biashara ya hisa za Vodacom kwa mwaka huu ndio habari ya mjini
Kununua hisa ni uwezaji mzuri, lakini lazima uchukue tahadhari sana kwani ikitokea jamaa wakatangaza loss ,either kwa kukwepa kodi au iwe imetokea na wewe unaingia loss lakini ujue ukiweka hisa kidogo saba let say 0.000000018% tarajia kupata faida ndogo sana tofauti na ungewekeza kwenye ujasiriamaliKOKOTO ulipo pana faa ila jielekeze kwenye Biashara ya hisa za Vodacom kwa mwaka huu ndio habari ya mjini
Kuna fursa katika kila jambo unaloliona kama nilivyotangulia kusema,tatizo uvumilivu+ utafiti.Now naongeza na uvivu.Kila palipo pazuri palitengenezwa mkuu.Shinyanga kwa biashara ipi Mkuu...ule mji sio kabisa aisee
ushawahi kukaa shinyanga biashara zote zikakogoma au unapasikia tu?, inategemea unafanya biashara gani kafanye upya utafiti shy mzeeShinyanga kwa biashara ipi Mkuu...ule mji sio kabisa aisee
Mm sijatembea mikoa mingi lkn Mtwara na wilaya zake Masasi, Newala ni sehemu yenye fursa, na biashara nzur huko ni ya vyakula kwakuwa wakaazi wa huko wao wamejikita sana kuzalisha korosho, Ufuta, karanga na Mbaazi mazao ambayo sio wanayokula. Hivyo huendesha maisha kwa kununua... mfano wilaya ya Newala vitu kama nyanya karoti (mbogamboga) ni adimu na ghali... Hivyo mtu ukijitoa ufahamu ukatoka nje kidogo ya mji ukazalisha ivyo vitu sambamba na kujumua... ninaamini matokeo njenje...Wapendwa ni muda sasa nawaza wapi panafaa kwa biashara na mzunguko wake wa pesa ni mkubwa kulinganisha na mahala pengine.
Toa mji wa mamwinyi TANGA
Iringa inafaa sana kwa biashara ndogo ndogo..maana kuna vyuo pale..na ni makutano ya Abairia weng toka mikoa tofautiMkuu, unadhani Iringa inafaa kwa Biashara gani?
Kusini Biashara ya mazao...location zipo nying sana..maana mi mwenyewe ndo nataka nianzeNauliza kuhusu kusini naweza fanya biashara gani huko
Toa maelezo[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
kwa nn tutoe jiji la tanga ambalo ni jiji la pili kwa viwanda vikubwa nchini na pua ni miongoni mwa majiji manne yanayochangia pato kubwa kwenye uchumi wa taifa letu?Wapendwa ni muda sasa nawaza wapi panafaa kwa biashara na mzunguko wake wa pesa ni mkubwa kulinganisha na mahala pengine.
Toa mji wa mamwinyi TANGA