Fursa hii kwa wadada!!!!

Fursa hii kwa wadada!!!!

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,480
Hakuna haja ya kutumia nguvu tumia akili.
IMG-20180610-WA0004.jpg
 
Hawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphone 7 si atahama na nyumba
nimecheka sana eti anahama na nyumba mm nakumbuka niliwahi kuzima simu week nikamuomba boy wangu simu mwaka Juzi unanijibu


NASHUKURU SAIVI HUPATIKANI HEWANI KAMA NINA SHIDA UJE KAZINI KWANGU HAKUNA KUWA NA SIMU

sitakaaa nisahau
 
Back
Top Bottom