24th DECEMBER
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 401
- 167
Hivi Wakiitwa wauza punya wataonewa??
Daaah sam kwa kutetea ma babee wakeeee hajambooo eti vazii linaendana na programme..
Nilikuwa na maza angu na mkwe sometime back, Kuna channels sikupenda ziwe zinaangaliwa coz unaweza kuaibika mbele ya mama mkwe asee!
hhhhaaahhhaaaaa...!!!we masai ww...
Ukiwekewa picha ya hilo ziwa utapata faida gani?
Usipende kuzoea kula ugali kwa picha ya samaki!!!
Hivi Wakiitwa wauza punya wataonewa??
ngoja nikalale
maana naona kuna huyu mwingine kaja kavaa tu t shirt.....
Giggy money...ilaaa mtoto mashallla..
Giggy money...ilaaa mtoto mashallla..
Wengine hatuna tv...
Weka picha, hasa ya hilo ziwa linalotaka kuanguka...
Giggy money...ilaaa mtoto mashallla..
ni chumba kimoja huku kilungule
nakukaribisha mbagara mgeni nani,kama tukutane Zakhem Ice cream
sio mbaghala kichem chem
nakukaribisha mbagara mgeni nani,kama tukutane Zakhem Ice cream
mtoto kajaliwa ila nahisi hajapata wa kumtuliza
weka picha.... Naona unayasifia kweli yamekuacha hoi nini? 🙂🙂
hiki kipindi mpaka niliisha kisahau... hivi ndio kile cha sam misago