Kwetu umeme amna,picha tuone wote.!!
kwa hali hii ni ngumu kutulia
nasubiri lichomoke nikimbie chumbani
mkuu undorobo wangu uko wapi jamani
hii aibu sana maziwa yako nje
watu wako on air
Ka kibaya unaangalia cha nn?
Weka picha.... naona unayasifia kweli yamekuacha hoi nini? 🙂🙂
Hahaha naangalia
yani uko a lone ndani ya jumba lote hilo...?umeona eeh pele maziwa mpaka yamevimbia kutaka kutoka
mkuu uko mwenyewe???? Mi naangalia mwenyewe ila naona aibu
yani uko a lone ndani ya jumba lote hilo...?
meusii tiiiii hata hayavutiii ni aibu tupu
siwez eka picha natumia opera
hahahahahaha lol! mpaka umeweka msisitizo dah!
nitakimbia maana ni aibu sanaa
tengua kauli
hapana naona aibu mimi na hapa natazama mwenyewe yaani imagne mkiwa wawili si aibu
unaona wanajistkuia
na kuaanza kuongelea uvaaji wao