mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
- Thread starter
- #61
Mkuu mbona hii ifont nikizima simu nikiwasha inataka nifanye setting upya.?.na wakati mwingine hata nikitoa lock inatoka hadi nifanye tena setting. Msaada please.
Mh kwa kweli hiyo itakua ni app error tu en jaribu kuiunstall alafu install upya na je unatumia sim gani mkui