Furahia simu yako hapa

Furahia simu yako hapa

Mkuu mbona hii ifont nikizima simu nikiwasha inataka nifanye setting upya.?.na wakati mwingine hata nikitoa lock inatoka hadi nifanye tena setting. Msaada please.

Mh kwa kweli hiyo itakua ni app error tu en jaribu kuiunstall alafu install upya na je unatumia sim gani mkui
 
mkuu mi yangu ni tecno F5 inawezekana hayo mautamu
 
Jaribu mkui

mkuu nimejaribu nimeona changes zimekuja vizuri ila hiyo Solo launch sijaiona naona tu cheetah launch, finger gesture launch, cobo, lollipop .Hiyo solo sijaiona nadhani hicho ndicho kikwazo cha kutopata font pack
 
nimefanikiwa mkuu kesho uje na ujuzi mwingine .ifont nimeshindwa kwa sababu ya ROOT .kila nikijaribu inakataa
 
Mkuu kuna app kibao ila install z4root alafu io itakupa maelekezo yote sana sana io apk utaikuta 4shared

Nimejaribu kuroot kwa z4root, RootX,OneClickRoot na nyingine imegoma. Mwisho imeniletea huu ujumbe
 

Attachments

  • 1429345008637.jpg
    1429345008637.jpg
    11.8 KB · Views: 194

Similar Discussions

Back
Top Bottom