Furahia simu yako hapa

Furahia simu yako hapa

Duu Nakosa Maujanja Yote Haya Kasimu Kangu Nika itel5253 Nadownload Apps Znamutate Kuwa Virus Ngoja Nijipange.
 
Hapana ndugu any android ambayo ni version 4.0 na kuendelea

Mkuu mimi kwny kipengele cha mwisho niki download hiyo app ya kulock inaniambia It can't be open.Tena ni baada ya kumaliza kudownload.Au kwa kuwa nina application nyingine ya ku lock ambayo ni VAULT?
 
bjsgds av &#960;[™[¢®ß®©[<&#8453;©®®&#8453;©®™ x f fzzqz.
 
Mi nimejaribu kuweka ifont naona imekataa kwenye cm yangu, inadai mpaka ni root, natumia htc sensation
 
Mkuu natumias5 tatizo langu liko kwenye setting ya internet natumia voda ilivurugika kurudi imekuwa shida naomba unisaidie kupata settings mpya
 
Habarini wakuu.....

Leo nataka niwaonyeshe jinsi nilivobadili mwonekano wa Huawei y300-100 yangu na kuifanya kua tam kama mcharoo.
Hizi ni app ambazo zitaipa feeling ya 4.4.4 sim yako ya android v4.0 na kuendelea best up to 4.4
Kuna app tatu ntawapa nazo zitasaidia sana mageuzi haya..

1) Kwanza tutaanza na kuinstall launcher. Zipo launcher nyingi sana ila kwa matokeo kama yangu unashauriwa utumie "SOLO LAUNCHER"

Launcher hii inaleta smooth looking kwa sim yako na kuifanya kuwa na looking flani Amaizing.
Solo Launcher Android App i
Ifuate hapo ishushe na uiinstall

2) Pili tutainstall Font pack. Wote tunajua default font inakua inaboa basi kupata mambo mazuri katika font zako download "Ifont hapa .. iFont - Expert of Fonts Android App alafu install na itarestart sim ili ichukue effects.

3)Kama kawaida tunatupia kitu cha app lock. Lazima tulock app zetu kuokoa mengi au sio? &#65533;&#65533;ila tunaitaji locker ambayo ni 0% opacity yaani haitovurugana na rangi ya background (hapa nazungumzia rangi itakayokua kwa io solo launcher).

Zipo locker nyingi ila leo nawapakulia linki ya ii apa "SMART APP PROTECTOR" ifuate hapa
Smart App Protector Android App i
nstall seti na maliza kazi.

Kwa kweli sasa sim yangu naona utam wake na inapendeza kwa kweli...
#mbwaHafiAkionaUfuko

Mkuu nikijaribu kuintall solo launcher kuna message hii ya setting inakuja naomba unielekeze
 

Attachments

  • 1434186970741.jpg
    1434186970741.jpg
    25.1 KB · Views: 258
Me napenda kutumia Zero launcher lkn tangu nianze kutumia tecno H6 imekataa kukaa default!! Msaada plz
 
Hizo application mbona zinahitaji access ya vitu vyangu nyeti? hasa kupata rekodi ya simu zangu, meseji, simu, contact, picha na hata kuwa na uwezo wa kutuma.meseji au kupiga simu na hata kufuta meseji. It is more likely to be a spy app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom