vzur mkuu...ila baba wa utam ni custom ROM mkuu pia unaeza jaribu.
asante mkuu...simu yangu inanoga sasa!
mi inanigomea inaniandikia hivyo,simu yangu huwawei 530
Great apps, ahsante
mi inanigomea inaniandikia hivyo,simu yangu huwawei 530
Enhe kuna kipindi nlikua na s3 nkawa natumia slimkat :thumbup: aseeutamu wake unaviwango vya TBS kabisa sema iliondoa touch wiz na pia kupoteza multitask :thumbdown:
mkuu sasa hiv kuna cm 12 ya lolpop kwanza hyo sound inayotoka humo ndani balaaa.
Ndio huawei y530 haisapot live wallpaper pole mkuu na nadhan pia unapata usumbufu hasa unapocheza magem mengi yanacrash
Ndio huawei y530 haisapot live wallpaper pole mkuu na nadhan pia unapata usumbufu hasa unapocheza magem mengi yanacrash
Sasa mkuu sisi tunaotumia 530 Tuna option gani maana tunakosa mautamu kama haya.
Jaribu kutafuta app inaitwa app2sd hiyo itasaidia kusogeza app na kutumia storage ya memory card
Inaitwaje io ROM
cyanogen CM 12 mkuu
Mkuu, nimeinstall ifont lkn ili kutumia fonts inasema ni root kwanza na kwa zingine inanitaka nilipie. Nifanyeje?