Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Katika hali ya kindumilakuwili, RAISI akiwa kanisani Dodoma, kanisa katoliki lile linalomwimbia nyimbo za sifa na kuabudu, baada ya kusali alikabidhiwa kipaza sauti aseme neno, alizungumza siasa japo huwa yeye anasema siasa na dini zisichanganywe tena huenda mabili zaidi na kukutanisha wanasiasa wamuombee.
Alipopewa kinasa sauti, alisema ... watanzania wakachague viongozi wao wanaowataka ili wawaletee maendeleo bila KUJALI CHAMA WALA DINI! huu ni unafiki wa Phd ya UDOM, juzi tu hapa alisema wapinzani wanachelewesha maendeleo na wasichaguliwe na yule mama kule Sumbawanga alikuwa anamlilia akamwambie aende kwa huyo mbunge wa upinzani akamwombe maji!
KATOLIKI MNACHEZEA MADHABAHU YA BWANA, kumbuka mfalme mmoja alifia madhabahuni baada ya kuuza kipande cha ardhi na kudanganya.
Endeleeni tu kumdhihaki Mungu, msifikiri watanzania ni wajinga kama ninyi, tunawaheshimu tu,
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ALFAJIRI HII
FURAHA KAENDA WAPI?
Waliopiga kura hawana furaha
Waliosusa/suswa hawana furaha
Waliopita bila kupingwa hawana furaha
Waliosimamia kura hawana furaha
Walioshinda hawana furaha
Walioshindwa hawana furaha
Waliopanga yaliyotokea hawana furaha
Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha
Walioshauri hekima hawana furaha
Waliokaa kimya hawana furaha
Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha
Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha
Wanaodhani wana furaha hawana furaha
Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.
ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.
Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?
Alipopewa kinasa sauti, alisema ... watanzania wakachague viongozi wao wanaowataka ili wawaletee maendeleo bila KUJALI CHAMA WALA DINI! huu ni unafiki wa Phd ya UDOM, juzi tu hapa alisema wapinzani wanachelewesha maendeleo na wasichaguliwe na yule mama kule Sumbawanga alikuwa anamlilia akamwambie aende kwa huyo mbunge wa upinzani akamwombe maji!
KATOLIKI MNACHEZEA MADHABAHU YA BWANA, kumbuka mfalme mmoja alifia madhabahuni baada ya kuuza kipande cha ardhi na kudanganya.
Endeleeni tu kumdhihaki Mungu, msifikiri watanzania ni wajinga kama ninyi, tunawaheshimu tu,
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ALFAJIRI HII
FURAHA KAENDA WAPI?
Waliopiga kura hawana furaha
Waliosusa/suswa hawana furaha
Waliopita bila kupingwa hawana furaha
Waliosimamia kura hawana furaha
Walioshinda hawana furaha
Walioshindwa hawana furaha
Waliopanga yaliyotokea hawana furaha
Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha
Walioshauri hekima hawana furaha
Waliokaa kimya hawana furaha
Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha
Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha
Wanaodhani wana furaha hawana furaha
Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.
ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.
Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?