Furaha ya CHADEMA

what was the purpose, wakati sheria za uchaguzi zipo wazi?

there must be a reason people hawakurupuki tu kuanza kuandamana na hii ya arusha nahisi is just a start,the way goverment is handling things most of the people are fed up!!!
 
Huyu Zomba nahisi ni Yusuph Makamba. Pumba zao na ujinga wao unafanana fanana.
Just wait, you will see fire sooner than later. Your days are numbered.
 
Sasa unafikiri tabu ya maisha inaondoka kwa kufanya maandamano ya fujo? ushaambiwa usiandamane, wewe umekazania tu.

Tanzania kuna tabu? nani aliokwambia, ingekuwa kuna Tabu Tanzania, saa hizi tungekaa kwenye mtandao?
Sio coz wewe unakula na kusaza ndo ufurahie nchi wanavyoipeleka hao w2 wachache.kama siraha zingeuzwa km pipi ungekua wa1 kufa shuwain tetemente mkubwa
 
Hii nyuzi mlinishambulia wengi, nauliza leo kiko wapi? mbona muafaka mmeufikia na hao hao mliokuwa mnawapinga? tena baada ya kufa watu? Wakati ule mlikuwa hamjui kuwa kila kitu kinazungumzika? au mliingizwa kichwa kichwa na viongozi wenu? nanyi kama misukule mkafata tu? Sasa kiko wapi?
 
Exactly "they got fired at", kwa nini? kwa sababu ya kufata watu wenye "upumbavu" ambao wamewaambia andamaneni na huku poilisi wamesha tangaza msifanye maandamano, matokeo? tunayajuwa wote, hakuna siri.

Hahahaaa, nina uhakika wewe ni "mpumbavu" zaidi yangu kuanzia kwenye vyeti mpaka exposure lakini "NILIANDAMANA" pia "Get ousting them or better I die trying"
 
Hii nyuzi mlinishambulia wengi, nauliza leo kiko wapi? mbona muafaka mmeufikia na hao hao mliokuwa mnawapinga? tena baada ya kufa watu? Wakati ule mlikuwa hamjui kuwa kila kitu kinazungumzika? au mliingizwa kichwa kichwa na viongozi wenu? nanyi kama misukule mkafata tu? Sasa kiko wapi?
Kwa hakika umeamua kufyata akili zako nyum,shame on you
 
demotivational-posters-congratulations.jpg

Mbona hatuoni kitu?
 
Back
Top Bottom