Nitahama nchi,kutoka changudoa mpaka President!!!Ndo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Kwanza ufahamu kwamba Trump kashika fedha tangu Tyson hajaanza ngumi. Trump alitumika kama mshauri wa Tyson na malipo yake alidonate kwa charities.Kwenye hii picha ni Bondia Mkongwe Mike Tyson "Malik Abdul Aziz" akiwa na Rais wa Sasa wa Marekani - Trump! Ambapo UNAAMBIWA
Picha hii ilipigwa Mwaka 1988 kipindi hicho Mike Tyson akiwa amemuajiri Donald Trump Kama Msaidizi wake binafsi kwenye maswala ya fedha lakini leo hii Trump siyo mtumishi wa Tyson bali ni rais wake.View attachment 809665
Hhhh labda shishi babyNdo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Taasisi ya urais haiko hovyo kihivyoo!!Ndo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
wanawake sio wenzetu mkuu,utakuta siku anaitwa first lady kama president kabisaNitahama nchi,kutoka changudoa mpaka President!!!
bahati nzuri mfano tunao.....so nakataa jibu lakoTaasisi ya urais haiko hovyo kihivyoo!!
Nawashangaa sana wanaomchukulia poa TrumpKipindi hicho alikuwa msaidizi kwenye masuala ya fedha lakini bado alikuwa ni tajiri kuliko Tyson.
Napenda sana historia ya Trump kwa jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo.
Makonda akawa mlinzi pale Kanisani sekondariHamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na Michezo
Bashite kumfunga kamba za viatu ridhiwan Leo nyumba ndogo ya jiwe
HahahaNdo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Nawashangaa sana wanaomchukulia poa Trump
Lazima Amber Lulu atakuwa mpinzani wakeNdo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Na pia ieleweke vizuri, Trump hakuwa msaidizi bali alikuwa mshauri wa maswala ya fedha, na kama ulivyosema, alikuwa ni Tajiri kuliko Tyson, na hapa si kwamba Tyson alimuajiri bali aliingia nae mkataba, kule kwa wenzetu inawezekana, yaan sawa na hapa Bongo leo ukijiona una pesa nyingi za kutosha na huoni kama unazi manage sawa sawa, unaweza kuingia mkataba hata na MODewji mkakubaliana akawa mshauri wako wa maswala ya fedha ukawa unamlipa, hapa watu wanadhani eti Trump alikuwa ameajiriwa kama kibaruaKipindi hicho alikuwa msaidizi kwenye masuala ya fedha lakini bado alikuwa ni tajiri kuliko Tyson.
Napenda sana historia ya Trump kwa jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo.
Aaah kudadeki nahama hii nchiNdo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Kipindi hicho alikuwa msaidizi kwenye masuala ya fedha lakini bado alikuwa ni tajiri kuliko Tyson.
Napenda sana historia ya Trump kwa jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo.