Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
muheshimiwa, ndugu, mbunge wa ilala, alhaji, captain, marehemu ukiwaona ramadhani mwinyishehe mzuzuri
mzee wa hukumu malizia basi lile la mwisho.. Ditopile.
muheshimiwa, ndugu, mbunge wa ilala, alhaji, captain, marehemu ukiwaona ramadhani mwinyishehe mzuzuri
mzee wa hukumu malizia basi lile la mwisho.. Ditopile.
toba!!!
Jirani yangu Magomeni mikumi , Mzee wa Kimakonde (mmaraba) anaitwa Mz. Angalia Sekunde .
Maeneo ya Tandika kuna mzee anaitwa mkun**kuwaka..
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hapo Jdg umetuingiza chaka!!!