Funniest name for a human you've ever heard

Tulikuwa na clss mate wetu aitwaye,
Ngumbavu Mfi.r.a.kwao Nachinguru,:lol:
from Masasi.
Haya majina sijui hata hufikiria nini mpaka kuwapa watoto wao.
 
Jirani yangu Magomeni mikumi , Mzee wa Kimakonde (mmaraba) anaitwa Mz. Angalia Sekunde .
 
Mzee wa kimakonde anaitwa lit.ako mashono na nkwabi ngw'anakilala
 
hahahaaaaa, i know..
hl mefupisha tu, inapaswa kuwa Nambombe...........[QUOTE=King'asti;4410547]Yours is kinda funny too, unajua?
What does it stand for?[/QUOTE]
 
ukiwa bagamoyo kuna mzee mmoja maarufu ni tour guide anaitwa Samahani Kejeli
 
Kuna Proffessor wetu mmoja chuoni alikuwa anaitwa Horniechick

Ila kwa hapa bongo naona Filikunjombe jina la ajabu sana!
 
Back
Top Bottom