Mmeongea mengi wadau na ya kweli sana tu!!!!!!
Naongeza kidogo kwa
Mkoroshokigoli hapo kwenye social capital!!!!
Pamoja na uzuri wa social capital ni muhimu sana kujua nani ni nani kwa wakati upi sababu wanaotuangusha mara nyingine hutokea humo humo kati ya wanaotujua,tahadhari sana na watu awe business partner or competitor, supervisor kazini au immediate boss spare your "core" kuna watu wakikujua sana taratibu wanajigeuza "enemies from within" kama sio wao basi watatuma wengine kukuhujumu....kikulacho style!!!!!!!!!
The Boss you just did it!!!!!!!!!
Kufanikiwa na kufeli asilimia kubwa kunasababishwa na mtu mwenyewe wengine huchangia tu!!!!!
Unapoamua kuzaa au kujenga familia basi jua umechukua dhamana za maisha ya wengine ni LAZIMA uhakikishe ustawi ,furaha,amani,usalama na faraja miongoni mwao nasema ni LAZIMA!!!!!
Wazazi jamani ndugu zanguni tutunze ,tuheshimu na kunyenyekea wazazi wetu hamna jinsi ya maneno ya kutosha hapa ila hakikisha wazazi wako hawajuti kukupata wewe,hawasikitikii matendo yako,hawasononekii uwepo wako hata kama huna cha kuwapa basi TUSIWAKERE WAZAZI WETU!!!!!!
IMANI YAKO NI SEHEMU KUBWA YA MAISHA YAKO