badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,097
This is absurd! OLDSCHOOL AT ITS HIGHEST!
hehehhe em tumegee maujanjaz mapyaa
This is absurd! OLDSCHOOL AT ITS HIGHEST!
This is absurd! OLDSCHOOL AT ITS HIGHEST!
Sasa Mbona Wenye Hela Wanatushikisha Adabu Kila Kukicha Huku Mtaani?
YES I SERIOUSLY DO! Any more questions?Absurd????!!!!!!
Seriously?????!!!!
You mean it????!!
Usimwamshe alie lala! Ukimuamsha utalala wewe!hehehhe em tumegee maujanjaz mapyaa
Mkwe hujambo?
Pesa ni kila kitu Bana.
Hapo umejifunza kinyume na ukweli.
YES I SERIOUSLY DO! Any more questions?
Moja wapo Nilichojifunza:
kuna kobe na sungura sungura anakimbia kobe ananyata ila wote hufika wanapoenda. Nini namaanisha njia ya mwenzio kufanikiwa isikutie hofu na wewe kutaka kupita njia ile ile ni kujipanga na kuangalia nafasi nyingine wanasema mlango mmoja ukifungwa mingine inafunguliwa
Maisha hayana 'fomula' ngoja niishie hapa maisha yamenifunza mengi
Ningeweza kuongelea kuhusu mimi lakini nisiwe mbinafsi kila mtu ana maisha yaliyoyapitia yawe ya mteremko au magumu,lakini kuna dhana na njia alizotumia kutatua matatizo yake.Nimejifunza katika maisha yangu kwamba nothing comes for free in life.Ukitaka maisha mazuri lazima upiganie kuyatafuta,uweke nia na malengo na uyafanyie kazi,usisubirie muujiza ukushukie,tumia hekima, akili na busara ulizozaliwa nazo kujijenga maisha yako ya baadae.Ukipigana kutafuta mafaniko,hakika utayaona matunda yake."NO SWEETS WITHOUT SWEAT" Usivunjike moyo ukianguka,inuka na usonge mbele,fanya juhudi zaidi.
Sikuwa na maisha rahisi katika malezi yangu,lakini nimeridhika na maisha nilonayo sasa,hayajakamilika na hayapo kama ninavyoombea lakini nimetimiza malengo yangu mengi ya muhimu kwangu kwa maisha ya sasa na ya baadae na kwa hilo napaswa kusema alhamdulillah.
Ewe mwenzangu maisha haya yamekufundisha nini,chochote kile funguka!!
Karibuni wapendwa!
Cash ni muhimu bank kuliko majumba.ukiumwa uweze jilipia sio Mtu unachangiwa kwenda india na wakati unakaa Kwenye nyumba ya billionNimejifunza:
1. "You can't be my friend unless i know your weaknesses" When you turn rogue i know where exactly to deal with you.
2. Financial Freedom ni muhimu sana, sio kuishi kwa ajira.
3. Being Optimist and Opportunist.
4. Exploit your talents, tumia kama chanzo cha mapato.
5. Do what makes you happy always.
Wewe ushasikia trust fund babies .kuna watu hawana haja ya kwenda shule wala Kufanya Kazi cause wame inherit a lot of money .paris Hilton kwa mwezi anakusanya 50,000 dollar check Yaani hiyo from inheritance na hapo Mara DJ Mara a nalipa ku attend party .wewe chezea dunia
Marry a wealth man .Zaa nae ,fungua trust funds,file for divorce and file child support and claim the big house .ship money to tanzania buy and rent houses .There is no easy money rafiki, namba 1 na namba 5 zinakinzana! Huwezi kupata mali za kutosha kama haujistress kuzipata. Serikali tu ndo kuna miujiza, mtu analipwa mshahara milioni moja na anajenga jumba hataree, anaendesha gari la maana na watoto wanaenda shule nzuri. Lazma uwe MWIZI!
jiongeze.