Fungu la mchicha limefikia ShT. 1000/=

Ya kawaida hayo. Na hata bado, tutakwenda sokoni na viroba vya hela. Subiri muda si mrefu yatafika ya ZIMBABWE.
 
Hapana kaka, wanaolama mchicha wa pale ni raia wa kawaida wanaoishi Msasani Maandazi Road,
na wanatumia zana za kawaiba kabisa katika kilimo chao.
Mchicha wa obey gharama zake ni kubwa kwasababu wanalima kwa trekta,palizi kwa trekta na wanamwagilia kwa maji ya uhai so sishangai kuuzwa buku tena soon itakuwa buku tano wachemi siye tuendelee kula mchicha wa bonde la msimbazi full virutubisho vyote muhimi kupitia kinyesi cha binadamu!
Hapo kwenye nyekundu umeua mazima...
 
Mchicha wa obey gharama zake ni kubwa kwasababu wanalima kwa trekta,palizi kwa trekta na wanamwagilia kwa maji ya uhai so sishangai kuuzwa buku tena soon itakuwa buku tano wachemi siye tuendelee kula mchicha wa bonde la msimbazi full virutubisho vyote muhimi kupitia kinyesi cha binadamu!

enhee hapo hapo ndo nlipokua napataka...QUALITY ndio sababu kwanini unauzwa 1000/=. unalimwa vizuri na kuvunwa vizuri. mida mingine unamuuzia mteja faida ya kutumia bidhaa unayozalisha (bundle of advantages) na cio ilimradi bei nafuu. Mteja anayejali afya na maisha yake hana budi kununua kwa 1000/=. wale wa msimbazi ambao wana kula ili waishi, cio waishi ili wale wao kwao yote poa.
 
kumbe O'bay. Uswahilini kwangu nina tuta la mchicha, majani ya kunde, majani ya maboga na mgagani, mwendao wa kubadili mboga tu!
 
kumbe O'bay. Uswahilini kwangu nina tuta la mchicha, majani ya kunde, majani ya maboga na mgagani, mwendao wa kubadili mboga tu!
Sasa sio kila mtu ana nafasi ya kuwa na tuta la mboga nyumbani kwake kaka.
Wengine wanakaa maghorofani Kariakoo...
 
Acheni akili za kwene chupa fungu la mchicha hadi 100 mbona huko oyesterbay 1000 ni kidogo tena wanampuja muuzaji walipaswa kulipa 5000 mua wote watu mawazo ya kinyonyaji tu unaendesha gari la milioni 60 hutaki kugharamia msosi unalipa kodi milion kwa mwezi sasa mchicha buku unalalamika kha?
 
Ndio.
Hiyo ndio hali halisi, hii ndio bei mpya ya mchicha kutoka viunga vya pale O'bay, adjacent na kota za polisi Oysterbay. Fungu hilo lilikuwa likiuzwa ShT. 500/= katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, hivyo bei mpya ni sawa na ongezeko la 100%, pamoja na kwamba pale ndio sehemu ya kwanza ya uzalishaji, yaani hakuna gharama za kusafirisha wala faida ya mchuuzi wa rejareja.
Tafakari,
CHUKUA HATUA!

Imekaa vema kwa aliyetoa uzi wa kilimo kinalipa kwa 100% na jibu zuri kwa wapiga madongo wa kilimo.

Kwa wasiotaka kulima ila kuuza tu pia ni nafasi nzuri bado kuna maeneo fungu la mchicha linalouzwa Sh.1000 Osterbay linauzwa sh.100.Agiza uletewe utapata zaidi ya 50% faida baada ya kuondoa gharama za ununuzi,dalali na usafirishaji..
 
Well done kwa serikali legelege ilobaki sasa wajiandae kutengeneza noti ya elfu20 na elfu50 na hata laki ikiendelea kuwa mbaya

Serikali lege lege ni ya familia inayolia kwa ongezeko la bei ya mchicha ikitegemea utatuzi wake ni JPM na CCM.Sumbua akili yako kidogo hii yaweza kuwa fursa kwako.
 
Hapo inatafutwa kulaumiwa serikali as if inalima mchicha au kuna chombo cha kufatilia bei ya mchicha hicho aio kitu cha kuanzishia hata uzi humu ni ni kitu cha kupanda haga nyuma ya nyumba yako na uka solve tatizo..! Punguzen kulalamika
 
Ndio.
Hiyo ndio hali halisi, hii ndio bei mpya ya mchicha kutoka viunga vya pale O'bay, adjacent na kota za polisi Oysterbay. Fungu hilo lilikuwa likiuzwa ShT. 500/= katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, hivyo bei mpya ni sawa na ongezeko la 100%, pamoja na kwamba pale ndio sehemu ya kwanza ya uzalishaji, yaani hakuna gharama za kusafirisha wala faida ya mchuuzi wa rejareja.
Tafakari,
CHUKUA HATUA!
Anzisha Bustan ya nyumbani. Mchicha wa kuchuma badala ya kungoa.
 
Kwahiyo hapo mtu mwenye familia ya baba,mama na watoto wawili jumlisha na dada wa kazi siku akiamua kupika wali na mchicha tu pesa itakayowatoka sio chini ya 4000 (vitunguu+mafuta+ moto+ chumvi na maji) kwa mlo mmoja. Kweli maisha magumu.
pigia elfi 6000/- itawatoka mkuu
 
Mkuu wengine wamepanga tena nyumba isiyo na uwa halafu haina sejemu hata ya kupanda kwenue kopo tu
Hapo inatafutwa kulaumiwa serikali as if inalima mchicha au kuna chombo cha kufatilia bei ya mchicha hicho aio kitu cha kuanzishia hata uzi humu ni ni kitu cha kupanda haga nyuma ya nyumba yako na uka solve tatizo..! Punguzen kulalamika
 
Back
Top Bottom