Habdavi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 724
- 621
tuache kulalamika, wenzetu huko japan wanaishi magorofani lakini kwa mboga za kutumia wanajitosheleza wenyewe. Wao wanapenda vitu fresh, so wamepanda mboga kwenye makopo, au kule juu kabisa wametengeneza concrete slabs ambazo zimewekwa udongo, sasa wa dar es salaama msiotaka kushika uchafu, hayo ndio matokeo yake.