subiri mwezi ounekaneHabari zenu jamani Mabibi na Mabwana,nilikuwa napenda kuuliza kwa mwenye kujua eti sie waislamu funga yetu ya Ramadhani inaanza Kesho Jumatatu ama Keshokutwa Jumanne,Jaziba wekeni pembeni busara itumike katika kuelimishana.
Nami nangoja jibu hapa maan mpk dakika hii naona holaa tujuzeni jamani mwez ulipoandamasubiri mwezi ounekane
Leo ni 30 sha'aban. Ramadhan imeingia jioni hiiHabari zenu jamani Mabibi na Mabwana,nilikuwa napenda kuuliza kwa mwenye kujua eti sie waislamu funga yetu ya Ramadhani inaanza Kesho Jumatatu ama Keshokutwa Jumanne,Jaziba wekeni pembeni busara itumike katika kuelimishana.
Funga ni Jumatatu mzee baba sio Jumanne,Taarifa kwa waislam. (Ofisi ya mufti wa tanzania) kamati ya kitaifa ya masuala ya mwezi inawajulisha waislamu wote kuwa Leo tarehe 5/5/19 kuonekana kwa mwezi hakujathibiti mbele ya mh mufti wa tanzania shk abubakar zuber mbwana.wala mbele ya kadhi mkuu tanzania bara shk abdallah mnyasi.wala hakujathibiti mbele ya mufti wa zanzibar shk swaleh kaab.wala mbele ya kadhi wa znz shk haji khamis. Wala hata jirani zetu kwa kauli ya kadhi wa kenya.hivyo mnatangaziwa rasmi kuwa huu ni usiku wa wa mwezi 30 shaaban. Kesh tunatimiza shaaban 30.hivyo basi ramadhan tutaanza rasmi siku ya jumanne 7/5/2019.ofisi ya mufti ya wa tanzania na mufti wa zanzibar.inawatakia waislam wote ramadhan mubaarak. (Shk alhad mussa salum)katibu wa kamati ya kitaifa ya mwezi muandamo na shk wa mkoa wa dsm)والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته
inshaAllah siku y jumanne tarehe 7MayBasi tupeni majibu ya uhakika