Fundisho kutoka Iran

Fundisho kutoka Iran

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,463
Reaction score
1,284
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama,

Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima
majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa majimbo 5 tu leo ni ngumu ku control na maadui wa Iran wataingilia hapo hapo

Funzo usiruhusu maandamano yazidi masaaa 6 yakishafika 8 anza kuwalamba shaba wahusika okoa wengine wengi , NEVER NEVER ALLOW SMALL SNAKE TO GROW
 
Duu! Imagine mtu anaanzisha mada kama hii, anatoa ushauri wanaoandamana kwa amani wapigwe risasi!
Nachoka kabisa mimi mwana JF mwenzenu!😢
 
Duu! Imagine mtu anaanzisha mada kama hii, anatoa ushauri wanaoandamana kwa amani wapigwe risasi!
Nachoka kabisa mimi mwana JF mwenzenu!😢
Huu msemo wa kuchoka choka hovyo nilijua ni watoto wa kike tu Wana utumia🤔
 
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama,

Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima
majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa majimbo 5 tu leo ni ngumu ku control na maadui wa Iran wataingilia hapo hapo

Funzo usiruhusu maandamano yazidi masaaa 6 yakishafika 8 anza kuwalamba shaba wahusika okoa wengine wengi , NEVER NEVER ALLOW SMALL SNAKE TO GROW
Mungu ana njia nyingi sana sio maandamano peke yake
 
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama,

Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima
majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa majimbo 5 tu leo ni ngumu ku control na maadui wa Iran wataingilia hapo hapo

Funzo usiruhusu maandamano yazidi masaaa 6 yakishafika 8 anza kuwalamba shaba wahusika okoa wengine wengi , NEVER NEVER ALLOW SMALL SNAKE TO GROW
Ila wewe kvuma una roho mbaya. Si ajabu watu kama ninyi ndio washauri wa bi chura
 
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama,

Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima
majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa majimbo 5 tu leo ni ngumu ku control na maadui wa Iran wataingilia hapo hapo

Funzo usiruhusu maandamano yazidi masaaa 6 yakishafika 8 anza kuwalamba shaba wahusika okoa wengine wengi , NEVER NEVER ALLOW SMALL SNAKE TO GROW
Unawashauri hawa , mda wa kuwashauri umekwisha, kama jeshi la police ni haki ya kulinda raia na mali zao ,vipi wale walikua wanatwanga risasi wananchi ,bila hata uniform, walikua wapi , acheni hii habari nipo na maumivu makubwa aisee
 
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama,

Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano yakaanza na fujo kidogo kidogo na loeo yamesambaa nchi nzima
majimbo 110 wakati kabla iyalikuwa majimbo 5 tu leo ni ngumu ku control na maadui wa Iran wataingilia hapo hapo

Funzo usiruhusu maandamano yazidi masaaa 6 yakishafika 8 anza kuwalamba shaba wahusika okoa wengine wengi , NEVER NEVER ALLOW SMALL SNAKE TO GROW
Uwalambe shaba watu wasiokutaka?
 
Ila wewe kvuma una roho mbaya. Si ajabu watu kama ninyi ndio washauri wa bi chura
hapana nina roho nzuri sana ya kuokoa raia wema , ona leo Iran walainza vizuri wakaachiwa , wahuni wameharibu wameshaua polisi 120 na wao wameuawa 500 , hivi wangelambwa shaba siku ya kwanza tu wakafa 20 tu si yangeishia hapo hapo , kula vichwa vya wale vihere here
 
Duu! Imagine mtu anaanzisha mada kama hii, anatoa ushauri wanaoandamana kwa amani wapigwe risasi!
Nachoka kabisa mimi mwana JF mwenzenu!😢
Unaangalia Tv au ? yalikuwa ya amani lakini wameshafanya uharibifu wa ajabu wamevunja sanau icon za nchi karibu zote na wameanza kuchoma majengo ya serikali kweli hao ni waandamanaji tena

WALE SHABA TU , NASIKIA LEO NDO WAMECHAPWA KARIBU 7000
 
Back
Top Bottom