Fundi yupi kasema ukweli

Fundi yupi kasema ukweli

cremoo

Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
41
Reaction score
2
tupia kura yako
attachment.php
 

Attachments

  • 1416299274144.jpg
    1416299274144.jpg
    38.5 KB · Views: 1,073
  • 1416299324010.jpg
    1416299324010.jpg
    50.2 KB · Views: 432
hapa ni rock city au the fish town.???
Ningalikuwa na uwezo ningepiga marufuku majina yooote
ambayo asili yake si ya kibongo.
Mv victoria ingeitwa mv koku
ziwa victoria ingekuwa ziwa sato/sangara
kuna baadhi ya wazee walikomaa mt.meru na kilimanjaro
havikubatizwa majina ya ki zion
kama mt.albert etc.
Eti lake natron kuita magadi waliona nini
natron wakaite huko kwa mama zao far, kn
 
Mwanza wako vizuri, kuna yule jamaa yuko pale kando ya njia ya kutoka Nyegezi-Buzuruga pamoja na sanamu za wanyama mbalimbali ametengeneza Mamba wawili wakubwa kiasi cha kufanya watu waende pale kupiga picha. Kama serikali yetu ingekuwa na mpango wa kuendeleza wasanii wetu huyu jamaa anastahili tuzo kwa kweli....
 
Mwanza wako vizuri, kuna yule jamaa yuko pale kando ya njia ya kutoka Nyegezi-Buzuruga pamoja na sanamu za wanyama mbalimbali ametengeneza Mamba wawili wakubwa kiasi cha kufanya watu waende pale kupiga picha. Kama serikali yetu ingekuwa na mpango wa kuendeleza wasanii wetu huyu jamaa anastahili tuzo kwa kweli....

njia panda ya butimba
 
hapa ni rock city au the fish town.???
Ningalikuwa na uwezo ningepiga marufuku majina yooote
ambayo asili yake si ya kibongo.
Mv victoria ingeitwa mv koku
ziwa victoria ingekuwa ziwa sato/sangara
kuna baadhi ya wazee walikomaa mt.meru na kilimanjaro
havikubatizwa majina ya ki zion
kama mt.albert etc.
Eti lake natron kuita magadi waliona nini
natron wakaite huko kwa mama zao far, kn

Mi kwa hilo nakuunga mkono mia kwa mia, lakini usilete habari za Mugabe, eti anataka kubadilisha jina Victoria falls kwa vile ni jina la kizungu wakati ye mwenyewe jina lake Robert, si angeanza kubadilisha jina lake kwanza. Haya na wewe jina lako la nani?
 
Mi kwa hilo nakuunga mkono mia kwa mia, lakini usilete habari za Mugabe, eti anataka kubadilisha jina Victoria falls kwa vile ni jina la kizungu wakati ye mwenyewe jina lake Robert, si angeanza kubadilisha jina lake kwanza. Haya na wewe jina lako la nani?

Jinale nzalendo au hujui kusoma?
 
Last edited by a moderator:
Mwanza wako vizuri, kuna yule jamaa yuko pale kando ya njia ya kutoka Nyegezi-Buzuruga pamoja na sanamu za wanyama mbalimbali ametengeneza Mamba wawili wakubwa kiasi cha kufanya watu waende pale kupiga picha. Kama serikali yetu ingekuwa na mpango wa kuendeleza wasanii wetu huyu jamaa anastahili tuzo kwa kweli....
me nafanya art pia
sijabahatika kupata hata kaofis au sehem tambuliki ya kufanya vitu vyangu
nishasaga mguu sehem mbalimbali nikitafuta msaada but tz yetu tiligivyogo.
taratibuu tunapata vitenda kidogo kidogo kutoka sehem mbal mbali
big up kwa wanang wa umu ndan mnaonipa sapot majumban kwenu
 

Attachments

  • 1416373230785.jpg
    1416373230785.jpg
    95.3 KB · Views: 164
  • 1416373625745.jpg
    1416373625745.jpg
    95.3 KB · Views: 166
hapa ni rock city au the fish town.???
Ningalikuwa na uwezo ningepiga marufuku majina yooote
ambayo asili yake si ya kibongo.
Mv victoria ingeitwa mv koku
ziwa victoria ingekuwa ziwa sato/sangara
kuna baadhi ya wazee walikomaa mt.meru na kilimanjaro
havikubatizwa majina ya ki zion
kama mt.albert etc.
Eti lake natron kuita magadi waliona nini
natron wakaite huko kwa mama zao far, kn
Swali A au B chagua moja sasa haya maelezo yote si tunachafua booklet letu bure tuu.
 
me nafanya art pia
sijabahatika kupata hata kaofis au sehem tambuliki ya kufanya vitu vyangu
nishasaga mguu sehem mbalimbali nikitafuta msaada but tz yetu tiligivyogo.
taratibuu tunapata vitenda kidogo kidogo kutoka sehem mbal mbali
big up kwa wanang wa umu ndan mnaonipa sapot majumban kwenu
Kaka uko vizuri mno, kama samaki kweli. Unapatikana mkoa gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom