Samsung note 9 kioo kimezima, button ya kuwasha pia imekufa nilikua nabonyeza kwa kutumia pin hivyo imekufa kwa ndani kabisa ila nikiweka charge inaingia, inarekebishika??
Samsung ni simu nzuri kuanzia body mpaka uwezo wa kuprocess vitu japo swali lako lipo in general namimi nakujibu in general mpaka sasa kwa matoleo ya simu yaliyotoka kwa ubora samsung yupo juu ya redmin
Ubora wa :
Body
Kioo
Camera
Processor
Samsung note 9 kioo kimezima, button ya kuwasha pia imekufa nilikua nabonyeza kwa kutumia pin hivyo imekufa kwa ndani kabisa ila nikiweka charge inaingia, inarekebishika??