Mteja hakuelewi kweli,kakupa 15 pro max yake inawaka uje umwambie ilizima na haiwaki hawezi kuelewa asee.Hii kazi ya lawama sana aise [emoji1]
Nimewakumbuka mafundi nguli wa miaka hiyo wakina yahaya pale azam mjini na wakina Chale pale PR camp kinondoni,kwenda polisi ilikuwa kawaida sana
Ova
Sana mkuu,mteja anakuletea sim alafu inamzimukia fundi fundi kila akiamsha haiamki ,hapo mteja kama mtata lazima msumbuaneMteja hakuelewi kweli,kakupa 15 pro max yake inawaka uje umwambie ilizima na haiwaki hawezi kuelewa asee.
Mafundi wengi sio wakweli anaona kabisa simu haiwezi ila anaongea uongo anaweza.
Mafundi wengi kusema Hii kazi siiwezi wanaona kama kujishusha ndio mana wanaishia Polisi.
Mkuu wafeli wapi hadi uone hawafaiWengi tu ila bado sijapata ninae mtaka
Nipo kahama nahitaji..Bado hujapata