Fundi Seremala anatakiwa

Fundi Seremala anatakiwa

fss1999

Member
Joined
Nov 15, 2023
Posts
15
Reaction score
17
Habari za wakati huu?
Natafuta fundi seremala atakaefanya kazi kwenye karakana yetu, anaeweza kutengeneza kazi za mbao pamoja na MDF.

Ofisi ipo Tanga, korogwe... Sehemu ya kulala ipo vifaa vyote vipo ila kama anavyakwake itakua vizuri zaidi. Malipo ni maelewano kwa kila kazi atakayofanya.
Uaminifu ndio kila kitu.
Nicheki 0616 026 368
 
Anaeweza kutengeneza milango, kabati kifupi awe mbunifu kwa sababu tunatengenexa vitu vya oda na vyakuweka karakana🙏
 
Malipo 3000-5000 kwa siku
Hapana malipo ni kutokana na kazi unayopewa kwa mfano kabati la mdfunalipwa efu 30 mpaka 35 kutokana na aina ya kabati so kama unaweza kumaliza kabati 3 hapo ni ww na bidii yako so tunatafuta fundi hasa wa mbao ngumu kama mtiki
 
Hapana malipo ni kutokana na kazi unayopewa kwa mfano kabati la mdfunalipwa efu 30 mpaka 35 kutokana na aina ya kabati so kama unaweza kumaliza kabati 3 hapo ni ww na bidii yako so tunatafuta fundi hasa wa mbao ngumu kama mtiki
Kabati la milango miwili na mitatu la mbao ngumu unalipa bei gani? Pia, finishing napiga mwenyewe na rangi napiga mwenyewe?
 
Back
Top Bottom