1. Ndio mechi zote muhimu na kubwa huwa zinaoneshwa
2. Tunalipia na kufungua dekoda chini ya dakika 7
3. Sio kweli Canal+ ya lugha Kiingereza bado haijatoka, ila kuna channel za mpira ziliongezwa kwenye decoder zinazotangaza mpira kwa lugha ya Kiingereza kwa kifurushi kikubwa