KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Mwaka Jana mwezi wa kumi nilinunua kuku wa kienyeji ili niwafuge kwenye nyumba yangu ambayo haijaisha vizuri huko Boko, Chasimba.
Nilikuwa na kuku saba broiler na wawili wa kienyeji, dume na jike.
dume a.k.a jogoo alikuwa mwekundu, na Yule jike alikuwa mweupe mwenye mabaka mekundu.
Broiler watatu wakaibiwa, waliobaki nikawala. Hawa kuku wa kienyeji alianza jogoo kutoroka, sikumpata tena. Jike naye akatoroka.
Kuna siku nikaota ndoto nimerudi nyumbani nimekuta nyumba imejaa makuku na mambwa, nikawatinua makuku na.majibwa yote, akabakia kuku mmoja, nikamchinja, mademu zangu wawili wakawa wanamuandaa.
Basi wenye kuku wakaja home kudai kuku wao. Wakaniambia wao ni wachawi na huyo niliyemchinja ni kuku wa mizimu. Natakiwa nilipe, Ila cha kulipa nitaambiwa na mizimu ya nyuki wa Tabora. Ninashituka usingizini.
Jana nimerudi nyumbani, nimekuta kuku jike aliyokuwa ametoweka miezi mingi iliyopita yamerudi bandani, Ila sasa amekuwa na madoa ya rangi nyeusi, na Banda lilikuwa limefungwa, nimepigwa na butwaa
Nilikuwa na kuku saba broiler na wawili wa kienyeji, dume na jike.
dume a.k.a jogoo alikuwa mwekundu, na Yule jike alikuwa mweupe mwenye mabaka mekundu.
Broiler watatu wakaibiwa, waliobaki nikawala. Hawa kuku wa kienyeji alianza jogoo kutoroka, sikumpata tena. Jike naye akatoroka.
Kuna siku nikaota ndoto nimerudi nyumbani nimekuta nyumba imejaa makuku na mambwa, nikawatinua makuku na.majibwa yote, akabakia kuku mmoja, nikamchinja, mademu zangu wawili wakawa wanamuandaa.
Basi wenye kuku wakaja home kudai kuku wao. Wakaniambia wao ni wachawi na huyo niliyemchinja ni kuku wa mizimu. Natakiwa nilipe, Ila cha kulipa nitaambiwa na mizimu ya nyuki wa Tabora. Ninashituka usingizini.
Jana nimerudi nyumbani, nimekuta kuku jike aliyokuwa ametoweka miezi mingi iliyopita yamerudi bandani, Ila sasa amekuwa na madoa ya rangi nyeusi, na Banda lilikuwa limefungwa, nimepigwa na butwaa