KwannNimesisimkwa
KwannNimesisimkwa
Wengine wanajifanya wanapenda sana Eti hawawezi kuachaUkijua kuwa mwanamke wako kaliwa solution ni kumuacha sio kupigana

Mkuu sasa wakikutoboa na visu sehemu zingine si ni yaleyale tu?Jamaa mzembe sana huyo! Unakubali vipi kukatwa dushe. Bora anitoboe na visu mwili mzima lakini hapo hawezi kupata nafasi ya kupagusa.
hao ndio wale wanaochukua wake za watu kisha wanatembea vifua mbele barabarani kama wamepigwa ngumi ya mgongo
daaahh inasikitisha mno..
sasa hapo kipi nafuu ..nibora angeliwa kisamvu au nibora alivyikatwa bombardier
daaahhh dunia simama nishuke aisee

Kuunganisha haiwezekani labda hicho kipisi kilichobaki wachongee kichwa kwa grinder kina kuwa kifupi ila kina ncha anakuwa anat.ombea hicho tu.Bora hata wangemuua, maana sasa atakula kwa macho tu maisha yote. Labda kama kuna uwezekano wa kuunganisha na ikafanya kazi.