Fumanizi...!

Fumanizi...!

Unazungumzia mkoa upi? Tanga au Mjini Magharibi?

uko sio mikoani, mbona huko ndo wale wale walamba chips?? Nazungumzia Tabora na Shinyanga na Ng'wansa tunapokulaga ugali ule wa chungu na mabele na sato. Ugali unajikatia mwenyewe kutoka kwenye chungu na mabele unajimiminia kutoka kwenye kibuyu
 
uko sio mikoani, mbona huko ndo wale wale walamba chips?? Nazungumzia Tabora na Shinyanga na Ng'wansa tunapokulaga ugali ule wa chungu na mabele na sato. Ugali unajikatia mwenyewe kutoka kwenye chungu na mabele unajimiminia kutoka kwenye kibuyu
Ah kumbe unazungumzia wale washamba wanaochambia magunzi?? Basi sawa.
 
Dah hiyo ni noma, amrudie mwenyezi Mungu na aache huo mchezo,.....next time watapitia kichwa kikubwa.
 
Makinika na tahadhari ya pichaView attachment 672570naomba radhi kwa wale wote ambao hawatapendezwa na maudhui ya picha....
Cha mtu sumu... Jihadhari yasikukute... Hujui katoka naye wapi na wamepitia mangapi...
Binadamu anapoguswa hisia zake za ndani hugeuka katili kuzidi mnyama
Adhabu yake ndogo kakatwa tuu...mbona hii siyo adhabu ni utani huu.
 
Yaan nimestuka kukutana na pichaa uhii, sasa ataishije hivyo, jaman aliyemtendea hicho kitendo si vzr uhii had nimeogopa
 
Back
Top Bottom