FULL TEXT: Hotuba ya Rais Kikwete kuufunga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014

Kupanda kwa bei kukipanda na kipato hakuna tatizo, ndiyo maana unaambiwa mfumuko wa bei umeshuka kutoka asilimia 12 mwaka jana mpaka asilimia 6 mwaka huu na jitihada zinafanyika mwaka huu ulioanza mfumuko uwe asilimia 5 au chini yake.

Hatua moja mbele then moja nyuma kisha unasema nimesogea, kwanini usingesimama hapohapo tu kuliko kupoteza energy, muda, gharama.
Huo mfumuko wa bei ulioshuka ni nchi gani hiyo?? Kenya au Karzakistan??
JK punguza wapambe kama hawa vichaa.
 
Hatua moja mbele then moja nyuma kisha unasema nimesogea, kwanini usingesimama hapohapo tu kuliko kupoteza energy, muda, gharama.
Huo mfumuko wa bei ulioshuka ni nchi gani hiyo?? Kenya au Karzakistan??
JK punguza wapambe kama hawa vichaa.

Nchi ya Kaskazini.
 
Mwananchi wa kawaida ni yupi? na asiye wa kawaida ni yupi?

Huo ni ubaguzi.

Yule anayeishi maisha ya kawaida kabisa ya sh 1610 kwa siku, unadhani ukimpelekea ukukotozi wa masuala ya uchumi atakuelwa yeye anataka asikie, bidhaa za dukani bei haipati au ishuke ili akushukuru lakini kama bidhaa zinapanda ataishia kulalamika na hizo hasira zake atazionesha kwenye sanduku la kura,
 
Yule anayeishi maisha ya kawaida kabisa ya sh 1610 kwa siku, unadhani ukimpelekea ukukotozi wa masuala ya uchumi atakuelwa yeye anataka asikie, bidhaa za dukani bei haipati au ishuke ili akushukuru lakini kama bidhaa zinapanda ataishia kulalamika na hizo hasira zake atazionesha kwenye sanduku la kura,

Mambo mazuri kabisa ikiwa hivyo ina maana tumeondoka kule tulipowachwa na Nyerere, Mwinyi na Mkapa kwenye chini ya dola 1 kwa siku.
 
Mambo mazuri kabisa ikiwa hivyo ina maana tumeondoka kule tulipowachwa na Nyerere, Mwinyi na Mkapa kwenye chini ya dola 1 kwa siku.

Sidhani kama ukimsema vibaya Nyerere huku kwetu utaondoka bila kuzomewa, 1610 =1$, na resource zote tunazochuma kwasasa sidhani kama tunatakiwa kuongelea 1$, wananchi huku wanahasira sana wachina na wahindi wamejaa huku wanachimba madini na kutoka nayo kwenye mikoba hakuna usimamizi wamejazana, hafu wazawa wanakula vumbi.
 
Back
Top Bottom