Fukuza Marekani nchini

Fukuza Marekani nchini

Ona aibu hata kidogo basi! Hata hiyo internet unayotumia ya kwao. Aliye kuzidi kakuzidi tu! Maneno matupu hayavunji mfupa!
Unataka kusema hata wakitaka kumuzimia internet hatutapata mawazo yake sio? subiri wamuzimie internet.
 
Nakijua Sana na nimesoma vingi tu.Ameandikwa kwa nadharia ya matakwa yake kutazama mabaya tu.Yeye na wwe na wengine wote ni sawa na kisa cha mbaazi kusingizia jua mwafrika kashindwa kuendelea anasingizia mkoloni utadhani ni Africa tu ndo iliyotawaliwa.CHINA,INDIA,MALAYSIA,HONGKONG,LATIN AMERICA nk wao awajatawaliwa na wakoloni?Waafrica tujiliamu wenyewe juu ya matatizo yetu na sio kuwasingizia wakoloni waliondoka miaka 60 iliyopita na hata robo ya mali awajamaliza Mali iliyppo Africa bado ni nyingi kuliko iloyochukuliwa.Hata Leo tukisema tubadilishane nao tuwape Africa nasie tupewe ulaya haitofika miaka 5 tutaanza kuzamia Africa tena.
Kwahiyo tatizo ni sisi sio wao? hilo nalo ni shida
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
Hata kwa Ebola WHO ilibatilisha usemi wao
 
Kwahiyo tatizo ni sisi sio wao? hilo nalo ni shida
Wametuzuia vipi kuendelea wakati tuna mali kuliko wao.Mfano Congo DRC tu ndio nchi ya kwanza kwa Mali asili duniani utake nini ukose si mafuta ,gas,bandari,maji,madini,ardhi.Jiulize wakoloni waliweza vipi kutuletea maendeleo na sisi tunashindwa vipi kujiletea maendeleo kwa hali na mazingira yaleyale waliyoweza wakoloni?
 
Hawa inabidi tuseme nao kisela tu ndio watatuelewa.
Nalog off
 
Wametuzuia vipi kuendelea wakati tuna mali kuliko wao.Mfano Congo DRC tu ndio nchi ya kwanza kwa Mali asili duniani utake nini ukose si mafuta ,gas,bandari,maji,madini,ardhi.Jiulize wakoloni waliweza vipi kutuletea maendeleo na sisi tunashindwa vipi kujiletea maendeleo kwa hali na mazingira yaleyale waliyoweza wakoloni?
Sasa mbona hili nalo ni jipya. Yani Duniani maliasili nyingi Mungu aliziweka Africa sio kwa wazungu? Sasa mbona Africa ndo kwenye umasikini zaidi kuliko kwa wazungu? Au tulivyotawaliwa na wazungu zamani kuna vyakula walitulisha tukawa hivi tulivyo?
 
Baada ya miaka 20 ijayo ukirudia kukikusoma ulicho kiandika hapa lazima upate sononeko kubwa sana. Mambo mengi yaacheni kama yalivyo, dunia mkia wafisi, ukiushika ukuasi.
 
Sasa mbona hili nalo ni jipya. Yani Duniani maliasili nyingi Mungu aliziweka Africa sio kwa wazungu? Sasa mbona Africa ndo kwenye umasikini zaidi kuliko kwa wazungu? Au tulivyotawaliwa na wazungu zamani kuna vyakula walitulisha tukawa hivi tulivyo?
Africa haijapata mfumo sahihi Wa uongozi,uliopo unapwaya na ndio chanzo cha umasikini wetu.
 
Mleta made unajua unachkongea kweli. Waulize wazimbabwe kilichowakuta. Chezea nchi nyingine lakini siyo marekani. Marekani akituwekea vikwazo jua pia washirika wake watatuwekea vikwazo. Zimbabwe wallenda kwa wachina baada ya kuwakaribisha kama investor kumbe wakawa wanaiba tu na uchumi wake ukaelekea shimoni. Mpaka Leo wameshindwa kutoka shimoni.
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
MKUU YOU MADE UP MY DAY.
EBU PATA KINYWAJI NALIPIA.
 
Tahadhari wamepewa raia wa Marekani ila mapovu wanayatoa raia wa Tanzania tena kutoka huko Matombo na Nanguruwe.

Mkuu waliopewa Tahadhari ni raia wa Marekani sasa wewe unaumia vipi? Je Tanzania kuwapa tahadhari raia wake waishie Marekani kuwa kuna ubaguzi wa rangi na wawe makini ni kosa? Je huoni huo ni kama upendo usiomithirika kwa raia wetu?

Je wewe unaona lile Tangazo la mkuu wa mkoa wa Dar la kuwasaka mashoga nyumba hadi nyumba Marekani hakuwa na umuhimu wa kuwapa tahadhari raia wake ambao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuwa wakitembelea Tanzania wanaweza kukamatwa?

Hivi wakenya wakiwapa tahadhari raia wake kuwa Tanzania kuna mauaji ya maalbino ili kuwapa alert raia wake wenye albinism watembeleapo Tanzania watakuwa wanakosea?

Mkuu, kama sisi hatuna hizo tamaduni za kuwalinda/kuwajali raia wetu walioko nje au wanaopanga kwenda nje basi usilazimishe hiyo kasumba na wenzetu wawe nayo, sisi tumechagua kuishi hivyo na wamarekani wanaishi hivyo so tuwaache waishi wapendavyo bila kuwapangia mambo yao.
 
Nakijua Sana na nimesoma vingi tu.Ameandikwa kwa nadharia ya matakwa yake kutazama mabaya tu.Yeye na wwe na wengine wote ni sawa na kisa cha mbaazi kusingizia jua mwafrika kashindwa kuendelea anasingizia mkoloni utadhani ni Africa tu ndo iliyotawaliwa.CHINA,INDIA,MALAYSIA,HONGKONG,LATIN AMERICA nk wao awajatawaliwa na wakoloni?Waafrica tujiliamu wenyewe juu ya matatizo yetu na sio kuwasingizia wakoloni waliondoka miaka 60 iliyopita na hata robo ya mali awajamaliza Mali iliyppo Africa bado ni nyingi kuliko iloyochukuliwa.Hata Leo tukisema tubadilishane nao tuwape Africa nasie tupewe ulaya haitofika miaka 5 tutaanza kuzamia Africa tena.
Vyombo vya magharubi vimefanikiwa kukufanya usijitambue.Pole.
 
Mimi naona Mabeberu ya humu ndani Ni mabaya na maovu kuliko Marekani. Mabeberu yanayoua na kuskomeza watu kwenye viroba, yakipiga watu risasi hadharani mchana, hayawezi kushindwa kuficha chochote!!!
 
Msaada gani wanaoutoa kwetu? Acheni uzushi!
China pamoja na kuwa imetuzidi kwa uchumi na technolojia lakini company mmoja ya Marekani Google ilitetemesha nchi nzima. Palikuwa hapatoshi China. Kiufupi China ilitia huruma.
Sasa wewe kajamba nani unakimbizana na ukosefu wa madawati unaanza kuivimbia Marekani. Kila kitu unachotumia ni cha mabeberu. Hapo ulipo unapata hivyo vihela na wewe unaona umefika. Hawa mabeberu waache kama walivyo. Hii JF unayotumia bila mabeberu hata usingeiona. Mimi napata pesa kutoka kwenye makampuni ya mabeberu kama Propeller ads na ad.fly. Search engine unatumia ya mabeberu, movie unaangalia za mabeberu, elimu umeipata ya mabeberu. Bila mabeberu sasa hivi ungekuwa unachunga ng'ombe. Huwa unaangalia video YOUTUBE? Unaishi kwenye dunia ya 3 kwahiyo kuwa mpole.
 
Vyombo vya magharubi vimefanikiwa kukufanya usijitambue.Pole.
Huo ndiyo ukweli. Wewe kajamba nani tangu 1961 unakimbizana na madawati na maji. Uhaba wa matundu ya choo kwenye shule unakutoa jasho halafu leo unataka kuanzisha ligi na Marekani. Aisee
 
Nimejaribu kukuelewa ulichoandika, lakini naona bado kina ukakasi. Kwanza umetumia vibaya jina la Yesu, kiufupi umedhalilisha dini ya wengine (Ukristo). Pia, lazima uelewe, kila Taifa, lipo responsible kulinda usalama wa raia wake. Tahadhari zinazotolewa, za ugaidi au magonjwa ni muhimu kwao, labda tu kama wamekosea protokali za kidiplomasia, katika kuwapa ujumbe raia wao, of which, sio sababu ya msingi ya kuingia katika vita. May be unaweza kujiuliza, katika suala la Ebola, nani anafaidika zaidi, Tz kukataa uwepo wake au wageni kulazimisha kupata taarifa muhimu kuhusu ugonjwa huo...??
Pia, Tz ina shida nyingi sana, umasikini, magonjwa, maji duni, elimu duni, miundombinu duni, nishati duni, siasa duni, uongozi duni,uchumi duni, yaan kila kitu kwetu ni duni. Tujiimarishe katika hayo, kwa maana yanawezekana katika mazingira haya ya amani, ya ndani na hata ya nje. Kama tumeshindwa kujisimamia vyema na kujiendesha kwa maslahi mapana ya Taifa, wakati huu wa amani, unadhani itawezekana, kwa wakayi huo wa vita...??
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
[/

perspective.https://www.youtube.com/watch?v=PU4XNlf9YbA
 
Back
Top Bottom