Fukuza Marekani nchini

Fukuza Marekani nchini

Tangu nchi yako ilipopata uhuru mwaka 1961 inakimbizana na matundu ya choo, uhaba wa madawati na maji mpaka sasa bado haijatatua. Sasa utaongea nini mbele ya beberu wakati vitu vidogo tu umeshindwa kuvimaliza kwenye nchi yako? Tangu mwaka 1961 unapokea misaada halafu na wewe unajiona mwamba kwa lipi?. Tatizo unaandika ujinga bila kufikiri. HAPO ULIPO UPO KWENYE KISIMU CHAKO CHA KICHINA UNAANDIKA HUU UJINGA. KAJAMBA NANI NAYE ANABISHANA NA MAREKANI. NA WEWE UNAJIONA MJANJA KUANDIKA HUU UJINGA KWA ID FEKI. KESHO NENDA KWENYE VYOMBO VYA HABARI UKAUSEME HUO UJINGA WA KUWAFUKUZA WAMEREKANI. HUYO KIONGOZI ALIYEKUMEZESHA HUO UJINGA ATAKUWEKA NDANI
Unaongea kwa mihemko bila fact yeyote pole sana naona povu tu hapa.
Pole sana kijana.
HII SIM YANGU YA MCHINA LAKINI OG HUAWEI KIJANA NADHANI UNAFAHAM KUWA IMEIPITA KIMAUZO SIM YA BWANA WAKO BEBERU IPHONE.

Halafu kuhusu masuala ya msaada ule ni unyonyaji ila ww huujui tu maana kichwa chako kimejaa kasumba.
Nishakujua empty headed wacha nikufahamishe masuala flan na wala sitakutukana km ufanyavyo.

Katafute nakala iloandikwa na UK inayoitwa "How imperialists benefits from fake AIDS to Africans".
Utayajua mengi sana humo.
Ukoloni mambo leo na poor colonial mindset kama yako ya kusema mzungu ndio kila kitu ndivyo vinatukwamisha sisi hapa nchini.
Tukizi wash hizo colonial mindset yenu basi huwenda tutakaa vema na kuiendeleza hii nchi.
Wafaa ujue hii nchi toka inapewa uhuru imeanzia wapi na inaelekea wapi??
kwann haikupiga hatua kwa kasi licha ya maliasili nyingi na ni nini tatizo??
Hivi ulishawahi kujiuliza haya maswali??
Basi kama ukikaa chini ukajiuliza waweza pata jibu na ukajicheka kwa pumba zako.
Halafu inaonekana hujui maana ya sovereignty.
Tunaweza kujiamulia tutakavyo kulingana na internal sovereignty yetu tuliyo nayo.

Punguza povu mwanamama leta facts.
 
We mwanamama mm sijapagawa mpk nakuquote ww.
Ninataka kukuondoa kasumba we mwanamama.
Hujui chochote kuhusu Iran we tulia.
Toka mwaka 1979 USA imetaka kufanya regime change kwa Iran kumuondoa Hassan Rouhani lakini wameshindwa .
Ni miaka 40 sasa hv we unasema ni suala la muda??

KIUCHUMI labda haujui km China anampumulia US makalioni maana US wakwanza China wa pili halafu gap lao la Nominal GDP ni $ 10 trillions halafu China anakua kwa 6% USA anakua kwa 2% na wanauchumi wamesha estimate mpk 2030 mpk 40 China anampiku US kiuchumi.
Na trade war USA hawezi kumshinda China yani anashindwa ktk trade war kiufupi.
Kuhusu nguvu ya kijeshi China ya tatu lakini kuna nguvu za sirini mwake ambapo hazijafahamika mpk sasa na alidhihirisha moja tu kule South China Sea akampa kitisho kimoja US aondoke na Navy seal yake South China sea na US akaondoka.
Mchina huyo unayemsemea ww.
Hatari sana achana naye.
Na bado atanyoroshwa vikali huyo beberu wako.






Usirudie kusema China si lolote kwa USA.
Tafadhali usirudie.
Ushavurugwa tayari mpaka unaanza kuniquote mara mbilimbili. North Korea na China kwasasa hawana lolote kwa Marekani. Kiduku mpaka anaenda kwenye mkutano na Trump hlalafu useme bado yupo imara kwa lipi?. Iran ni suala la muda. Sasa wewe kajamba nani unakimbizana na madawati unataka kuanzisha ligi na Marekani utamuweza?
Ukitaka kuanzisha ligi na Marekani unatakiwa uwe vizuri kwenye
1. UCHUMI
2. SILAHA
Ukiwa vizuri kwenye hizo sekta ndiyo uanze ligi na Marekani. Tofauti na hapo nenda kajifunze Fishing industry in Norway
 
Unaongea kwa mihemko bila fact yeyote pole sana naona povu tu hapa.
Pole sana kijana.
HII SIM YANGU YA MCHINA LAKINI OG HUAWEI KIJANA NADHANI UNAFAHAM KUWA IMEIPITA KIMAUZO SIM YA BWANA WAKO BEBERU IPHONE.
Halafu kuhusu masuala ya msaada ule ni unyonyaji ila ww huujui tu maana kichwa chako kimejaa kasumba.
Nishakujua empty headed wacha nikufahamishe masuala flan na wala sitakutukana km ufanyavyo.
Katafute nakala iloandikwa na UK inayoitwa "How imperialists benefits from fake AIDS to Africans".
Utayajua mengi sana humo.
Ukoloni mambo leo na poor colonial mindset kama yako ya kusema mzungu ndio kila kitu ndivyo vinatukwamisha sisi hapa nchini.
Tukizi wash hizo colonial mindset yenu basi huwenda tutakaa vema na kuiendeleza hii nchi.
Wafaa ujue hii nchi toka inapewa uhuru imeanzia wapi na inaelekea wapi??
kwann haikupiga hatua kwa kasi licha ya maliasili nyingi na ni nini tatizo??
Hivi ulishawahi kujiuliza haya maswali??
Basi kama ukikaa chini ukajiuliza waweza pata jibu na ukajicheka kwa pumba zako.
Halafu inaonekana hujui maana ya sovereignty.
Tunaweza kujiamulia tutakavyo kulingana na internal sovereignty yetu tuliyo nayo.
Punguza povu mwanamama leta facts.
Siwezi kuwa na povu kwa vitu vya kijinga unavyoandika. Tatizo mnaongea sana kama chiriku wakati matendo ni sifuri. Umejificha kwenye ID feki ya JF na wewe unajiona mwamba. Hapo ulipo ni mwananchi wa kawaida sana na hauna hata power kwenye hii serikali ya Tanzania. ACHA KUJIFICHA NYUMA YA KEYBOARD KWA ID FAKE. KESHO NENDA UKASEME HAYO KWENYE VYOMBO VYA HABARI. HAPO ULIPO UPO KAMA MBWA ASIYEKUWA NA MENO, MWENYE NJAA NA ANAYEBWEKA HUKU AMEFUNGWA MINYORORO NA YUPO KWENYE KICHUMBA KIDOGO KISICHOKUWA NA DIRISHA. ENDELEA KUPIGA KELELE JF
 
Hayo ndiyo mambo ya Mugabe. Unampinga Beberu halafu ukiuugua unaenda kwake kutibiwa lazima akudunge sindano ya sumu. Viongozi wa afrka hawajitambui kabisa. Wewe unatumia kila kitu cha mabeberu halafu unasema wanakuonea wivu kwa lipi? Ghadafi alikuwa anajisifia sana kuwa mabeberu hawamuwezi lakini alitolewa kirahisi sana kupitia watu wake. Usicheze na Marekani. Kiduku mwenyewe alikuwa mwepesi kama karatasi. Tanzania inaweza kuiwekea vikwazo Marekani?
inabidi tuangalie na upande wa pili asee sio tunafanya maamuzi kwa mihemuko.. tutashangaa kashilingi ketu kanashuka ghafla na sisi tunaanza kununua mkate mmoja kwa shiling lake nane kama Zimbwabwe.
 
Povu lingine.
Unaoyasema hayabadilishi uhalisia pole sana endelea kutoa povu hunijui kwahiyo tusikejeliane sana ndugu we endelea kutoa povu.
Pole na kwaheri.
Siwezi kuwa na povu kwa vitu vya kijinga unavyoandika. Tatizo mnaongea sana kama chiriku wakati matendo ni sifuri. Umejificha kwenye ID feki ya JF na wewe unajiona mwamba. Hapo ulipo ni mwananchi wa kawaida sana na hauna hata power kwenye hii serikali ya Tanzania. ACHA KUJIFICHA NYUMA YA KEYBOARD KWA ID FAKE. KESHO NENDA UKASEME HAYO KWENYE VYOMBO VYA HABARI. HAPO ULIPO UPO KAMA MBWA ASIYEKUWA NA MENO, MWENYE NJAA NA ANAYEBWEKA HUKU AMEFUNGWA MINYORORO NA YUPO KWENYE KICHUMBA KIDOGO KISICHOKUWA NA DIRISHA. ENDELEA KUPIGA KELELE JF
 
Povu lingine.
Unaoyasema hayabadilishi uhalisia pole sana endelea kutoa povu hunijui kwahiyo tusikejeliane sana ndugu we endelea kutoa povu.
Pole na kwaheri.
Povu siyo povu utajua mwenyewe. ENDELEA KUPIGA KELELE JF. WEWE NI SAWA NA MBWA ANAYEBWEKA NA YUPO KWENYE KIBANDA KIBOVU KINACHOVUJA KICHAKAVU.
MIMI MWENYE SINA MUDA NA WEWE. SAWA WAMEKUSIKIA WATALIFANYIA KAZI JAMBO LAKO LA KUWATIMUA WAMAREKANI.
 
inabidi tuangalie na upande wa pili asee sio tunafanya maamuzi kwa mihemuko.. tutashangaa kashilingi ketu kanashuka ghafla na sisi tunaanza kununua mkate mmoja kwa shiling lake nane kama Zimbwabwe.
Wafrika aliteyeturoga alituweza sana. Unamkimbia Marekani unaenda kwa Mchina (Huyu ndiye mnyonyaji aliyekubuhu ni bora ya Marekani). Viongozi wa Africa huwa wanakufa kijinga sana. Unagombana na beberu halafu ukiugua unaenda kwa beberu kutibiwa lazima wakudunge sindano ya sumu. Ukiangalia viongozi wale wababe wote wa Afrika wakienda kutibiwa nchi za nje lazima waje maiti zao. Unagombana na Marekani halafu unaenda kutibiwa uingereza au Australia? Wewe utakuwa maiti tu.
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
Unaandika kitu ambacho huna uwezo nacho. Eti ningekuwa rais ningewafukuza, yaani ungekuwa wa kwanza kuwalamba miguu
 
Mkuu km umeshindwa kaa tu kimya sawa.
Nimekuaga kistaarabu acha upayukaji na matusi ilhali hatujuani.
Maana ww ndiye umepiga kelele na kejeli zisizo na msingi kibao badala ya kutoa hoja.
Km unashindwa kutumia uwerevu ni kheri ukae kimya hata mm sina muda na empty headed km ww.
Povu siyo povu utajua mwenyewe. ENDELEA KUPIGA KELELE JF. WEWE NI SAWA NA MBWA ANAYEBWEKA NA YUPO KWENYE KIBANDA KIBOVU KINACHOVUJA KICHAKAVU.
MIMI MWENYE SINA MUDA NA WEWE. SAWA WAMEKUSIKIA WATALIFANYIA KAZI JAMBO LAKO LA KUWATIMUA WAMAREKANI.
 
Mkuu km umeshindwa kaa tu kimya sawa.
Nimekuaga kistaarabu acha upayukaji na matusi ilhali hatujuani.
Maana ww ndiye umepiga kelele na kejeli zisizo na msingi kibao badala ya kutoa hoja.
Km unashindwa kutumia uwerevu ni kheri ukae kimya hata mm sina muda na empty headed km ww.
.
 
Back
Top Bottom