Fukuza Marekani nchini

Fukuza Marekani nchini

Kabla ya kufanya hivyo ujipange. Una sasa mwenyekiti wako analia kila siku Zimbabwe iondolewe vikwazo mpaka sasa Hawana hela yao wanatibiwa SA na nchi jirani. Sasa kwa wewe hapa Tz Anza na wagknjwa wanaopata ARV wapatao 2m plus wanaopata dawa bila kukata for 5 years kata uone msipo tanga a janga la kitaifa mpaka viongozi wenu.
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopahaya na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
haya wafukuzeni!!
 
marekani itabak kuwa juu kwa kiherehere cha viongoz wako. mbna misaa ya USA husemi huitak, na kaa ukujua dunia ya 3 bila msaada toka dumia ya 1 wamekwisha..
The one who feeds u controls u...
Msaada gani wanaoutoa kwetu? Acheni uzushi!
 
Kuna baadhi ya mambo nakubaliana nawe lkn kaa ukijua kuwafukuza warekani huwezi kuachwa salama lzm ujidhatiti ktk nyanja zote alasivyo unamwaga mboga na wao wanamwaga ugali,unaweza shangaa taarifa zote za ikulu na siri za serikali zinawekwa uchi tena na mtz mwenzutu kwa mgongo wa USA.. si Kila vita lzm ipambanwe uraiani mengine ni chini kwa chini na usikute viongozi wetu wanajua nini kinaendelea hivyo hayo unayoyaita ni matokeo ya chini ya uvungu...au nawe ni mmoja wao umekuja kupima pishi limeiva au..?
Naukubaliana na wewe. Nina waogopa sana watanzania. Watanzani wa leo wako tayari kutusaliti kirahisi tu.

Nina wasi wasi na Rais wetu. Anamtindo wa kuwang'ang'ania dazu ambao yeye anajua fika kuwa ni Wasaliti kama Makamba Junior.
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300
Kichaa kimekuanza lini? Ni mara ya kwanza au umewahi kuugua siku za nyuma pia?
 
Ni sawa useme ung'oe kizazi kwa mwanamke ili kukwepa maumivu ya hedhi.ni ujuha.
Kwa Diplomasia tutakaa nao sawa
 
Haya kumbukeni PKagame ni mtu wao Mabeberu
 
Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.
Kitu unachotakiwa kujua katika dunia hii ya sasa ni kwamba hakuna kitu sirini unachoweza kukifanya mmarekani asiwe na taarifa, kwanza lazima ufahamu kuwa ndani ya serikali kuna pandikizi za wamarekani wanalipwa kwa kazi hiyo sasa wao kutoa tamko hawakurupuki hata video ya matukio yanayofanyika mkijua hamna aliyeona au mwingine anayejua basi ujue wao wanazo, wakati mwingine hapo waliongea kwa mafumbo huelewi wameongea nini kwa undani, kuhusu Ujambazi na uporaji nenda extra mile ndio utaelewa hilo.
 
Msaada gani wanaoutoa kwetu? Acheni uzushi!
Hizo ARV unatoa wewe? Na zile barabara kama ile ya Tunduma- Sumbawanga-Katavi, hela walitoa ukoo wako? Na ule umeme uliounganishwa zaidi ya vijiji 5,000 hela walitoa mizimu ya kwenu? Na hizo hela mnazopewa na kukopa WB, huko WB waliweka familia yako? Wasingeweka hao mabeberu mngekopa nini? Hata huko African Bank unajua hela nyingi ni ya nani? Au unadhani ni ya nchi za Africa? Kweli aheri ulemavu wa viungo kuliko kukosa uelewa.

Hakuna nchi hata moja iliyowahi kufanikiwa kwa kugombana na hao wakubwa ikafanikiwa. Wachina walirukaruka, wakaishia kuvaa nguo zenye viraka matakoni na magotini lakini hakuna kilichoeleweka. Wakasalimu amri, mabeberu wakaenda kuwekeza China, ukuaji wa uchumi wa China ukawa unaongoza Duniani. Mpaka leo, makampuni makubwa kabisa 10 nchini China, kampuni ya China ni moja tu. Mengine yote ya mabeberu. Na sahizi Trump anaitesa China, mpaka ukuaji wa uchumi wa China umeshuka. Na baadhi ya makampuni yameridhia kupunguza uwekezaji wake nchini China.

Kuna wakati mbwa anaweza kubweka na hata kumwuma anayemtunza. Lakini anayemtunza anaweza kummaliza wakati wowote akitaka.

Simu hiyo huwezi hata kuitumia Marekani asipotaka. Hata kagari kako huwezi hata kuwa nako, kama mabeberu wangesema tusiuziwe. Dhahabu yako na almasi vinaweza kuwa kokoto na mchanga usio na maana kama hayo mataifa makubwa yakisema hairuhusiwi kununua madini ya Tanzania.

Tanzania haiwezi kuwepo bila ya mataifa makubwa lakini mataifa makubwa yataendelea kuwepo hata bila ya uwepo wa Tanzania. Somalia leo hakuna Taifa. Nchi gani kubwa imeathirika?
 
Mbona povu sana bro kwani mnyamwezi akionya raia wake wewe inakuwasha nini.au ebola imetia timu nini naanza kuwa na mashaka makubwa
 
Waambie hao. Hata Nyerere alitaifisha Mwadui, kilichomkuta nadhani kinajulikana, Almas ya Tanzania ilisusiwa na hata vipuri vya mgodi hawakuuziwa mpaka Mwadui ikafa
Hizo ARV unatoa wewe? Na zile barabara kama ile ya Tunduma- Sumbawanga-Katavi, hela walitoa ukoo wako? Na ule umeme uliounganishwa zaidi ya vijiji 5,000 hela walitoa mizimu ya kwenu? Na hizo hela mnazopewa na kukopa WB, huko WB waliweka familia yako? Wasingeweka hao mabeberu mngekopa nini? Hata huko African Bank unajua hela nyingi ni ya nani? Au unadhani ni ya nchi za Africa? Kweli aheri ulemavu wa viungo kuliko kukosa uelewa.

Hakuna nchi hata moja iliyowahi kufanikiwa kwa kugombana na hao wakubwa ikafanikiwa. Wachina walirukaruka, wakaishia kuvaa nguo zenye viraka matakoni na magotini lakini hakuna kilichoeleweka. Wakasalimu amri, mabeberu wakaenda kuwekeza China, ukuaji wa uchumi wa China ukawa unaongoza Duniani. Mpaka leo, makampuni makubwa kabisa 10 nchini China, kampuni ya China ni moja tu. Mengine yote ya mabeberu. Na sahizi Trump anaitesa China, mpaka ukuaji wa uchumi wa China umeshuka. Na baadhi ya makampuni yameridhia kupunguza uwekezaji wake nchini China.

Kuna wakati mbwa anaweza kubweka na hata kumwuma anayemtunza. Lakini anayemtunza anaweza kummaliza wakati wowote akitaka.

Simu hiyo huwezi hata kuitumia Marekani asipotaka. Hata kagari kako huwezi hata kuwa nako, kama mabeberu wangesema tusiuziwe. Dhahabu yako na almasi vinaweza kuwa kokoto na mchanga usio na maana kama hayo mataifa makubwa yakisema hairuhusiwi kununua madini ya Tanzania.

Tanzania haiwezi kuwepo bila ya mataifa makubwa lakini mataifa makubwa yataendelea kuwepo hata bila ya uwepo wa Tanzania. Somalia leo hakuna Taifa. Nchi gani kubwa imeathirika?
 
Waandishi wao wamebanwa sasa hivi wameamua kuingia kazini wenyewe kuchapisha propaganda za kihuni
 
Na, Robert Heriel.

Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye Baba wa Ukoloni mamboleo. Nani asiyejua kuwa Marekani ndiye aliyejivika kibweka miaka ya 1945 kufanya Decolanization ili naye apate ulaji kupitia mlango wa nyuma wa Neo-colonialism. Nani asiyejua nauliza.

Huyu marekani anafahamika kwa siasa zake za ujanja ujanja wenye kuumiza. Yeye akiwa Baba wa Mabeberu akishirikiana na vibeberu vidogo vidogo kutoka magharibi. Amejimilikisha hii dunia na kuifanya kama kigoda cha kuwekea Kalio lake.

Nani asiyejua Marekani ni moja ya watu waliohusika kumtoa kimabavu Muammar Ghadafi, Sadamu Hussein kwa kile wakiitacho kupigania demokrasia. Huko kwa Badhad Al Asady Syria tokea 2011 nipo kidato cha nne amewachafua vibaya watu wa huko.

Kupitia mashirika yake ambayo ameyaita yakimataifa amekuwa bingwa wa kuunda propaganda zenye malengo mbalimbali. Lakini kwa kawaida Marekani anafahamika kama bingwa wa kutia watu hofu. Bingwa wa fitina wa siasa za dunia.

Miezi iliyopita alitoa taarifa kuwa Tanzania inaweza kupata shambulio la kigaidi wakati wowote hivyo inawatahadharisha watu wakazi wake. Ikavunja taratibu za kutoa taarifa kama hivyo bila kuwashirikisha mamlaka husika za ndani. Tukio lile waliomba radhi. Nikawapongeza kwa kuwa Waungwana japo macho bado lazima tuwatolee.

Haya Jana wamewapa tahadhari watu(hasa watu wa marekani) wanaotaka kuja Tanzania kuwa kuna matishio yanayohatarisha maisha ya watu nchini Humu.
Matishio hayo;
1. Tishio la ugaidi.
2. Tishio la ugonjwa wa Ebola
3. Tishio la Ujambazi na uporaji.
4. Mashoga kunyanyaswa na kupigwa vita n.k.

Hoja hizo na zingine ndizo zimewafanya Wamarekani watoe tahadhari kwa rai wao.

Marekani lazima ajue haya na bila shaka anayajua.
Ebola ni ugonjwa usiojificha kama Ukimwi. Ebola ikianza hakuna siri. Ebola ni kama pembe la ng'ombe wakati UKIMWI ni kama Nyeti za Kuku.

Marekani inaposema Serikali inaficha Ebola sijui inazungumzia nini kama sio kutengeneza hofu kwa watu kama ilivyokawaida yao. Kama hawana mpango wa nyuma ni jambo gani wanataka kulifikisha.

Tanzania haina chakujificha katika EBOLA. Yapo magonjwa mengi isijifiche Why iwe kwa Ebola. Yalikuja mafua ya ndege yakapiga maeneo ya Arusha huko ndani ndani serikali ikatangaza. Ilikuja Dengue serikali ikatangaza.

Sasa huyo Ebola na Marekani wana uhusiano gani mpaka sisi tushindwe kumuanika kuwa katinga nchini. Marekani acheni zenu. Tutawafukuza. Ili mfanye hizo propaganda zenu vizuri.

Lini hapa nchini Raia wa kigeni wameishi kwa bughuza. Lini hapa nchini Wamarekani wamenyoshewa hata kidole na Raia wetu bora kuliko wote dunia wenye upendo.

Licha ya ninyi wageni hususani Wamarekani kutesa na kujivinjari kuliko Wageni katika ardhi yetu lakini Watanzania wanawapenda na kuishi na ninyi vizuri. Alafu leo muongee mambo ya kipuuzi puuzi mkidhani sisi ni wajinga.

Ningekuwa mimi ndiye Kiongozi wa Taifa hili. Ningewatimua. Ningewafukuza ili muende mkafanye Propaganda zenu za kipuuzi huko nje kwa uhuru.

Nisingesubiri muwatahadharishe watu wenu kuwa wasije huku. Ningewagukuza na kuwapiga marufuku kukanyaga nchi hii mpaka nitakapoondoka.

Ati mashoga tunawanyanyasa. Mulitaka wafanye mambo yao yakipuuzi mitaani. Kama ninyi mnawajali sana hao Mashoga na wapenzi wa jinsia moja. Wachukueni muende nao huko kwenu mnapowapa uhuru wa kufanya upuuzi wao.

Hata hivyo bado serikali inamambo mengi. Bado ingehitajika ishuhulike haswa na watu hawa ili muongee vizuri.

Tunajua wapo mawakala wenu mliowasomesha enzi za nyuma wanaowasaidieni katika kueneza upumbavu. Sasa mnataka mrudishe pesa zenu mlizotumia kuwasomeshea. Tunajua wapo wanaonufaika na yale mnayoyapigania. Tunajua yapo mashirika binafsi mnayoyadhamini kwa ajili ya kuwapigieni chapuo. Tunajua wapo vibaraka katika baadhi ya makanisa uchwara na wanasiasa uchwara.

Tunajua wapo Wachungaji mnaowatumia wamtumie Yesu kutetea mashoga. Sasa taarifa ni hii. Waambieni hao vibaraka wenu kuwa kama Yesu naye alitetea Hao mashoga mwambieni naye hatumtaki. Ingawaje tunajua hawezi kufikia kiwango hicho cha upuuzi bali ninyi ndio mnamlisha maneno.

Fukuza hao Wamarekani ili wajue wao sio lolote katika taifa hili. Tunajua tutapata tabu kwa miaka hii kumi kutokana na mazoea mabaya ya utegemezi na athari za Ukoloni mamboleo lakini Ukweli ni kuwa tutakuwa Stable baada ya miaka 20.

Marekani lazima ijue kuwa Taifa hili ni taifa kubwa. Linavijana wenye fani zote hata zisizokuwepo Marekani. Linavijana wajuvi wa fani mbalimbali. Lina wanawake mashujaa na wachapakazi.

Kinachowakwamisha ni baadhi ya viongozi vibaraka na Wafanyabiashara Wakubwa wanaotegemea zaidi Bidhaa za kibeberu zinazoua viwanda vyetu.

Serikali fukuza Marekani irudi kwao ikafanye propaganda zake vizuri za kuchafua nchi yetu.

Ni muda wa Kumthibitishia Marekani na Vibaraka wake kuwa wao sio lolote zaidu ya chochote keenye taifa hili.

Wapo watu watakaosema kuwa oooh! Naongea porojo. Mara taifa letu ni masikini. Sijui Blah Blah hapa.

Taifa hili sio masikini bali linahitaji msuko wa kifikra kwa vijana kuhusu mtazamo kuhusu ubora wetu.

Sisi ni watu bora. Kila mwenye akili analijua hili. Kila kijana mwenye mapenzi na nchi hii analijua hili. Nna ataungana na jambo hili.

Najua wapo maadui hata hivyo ni lazima muwepo ili tuweze kuona nguvu zetu tunapopambana na nyie. Tunajisikia fahari na mchezo mzuri kupambana na adui zetu ambao baadhi yao ni ndugu zetu tuliozaliwa katika taifa hili.

Mnajua tutawashinda ninyi wenyewe. Ninyi wenyewe mnajua sisi tumewazidi mambo mengi muhimu na yalazima.

Fukuza Marekani ikafanye siasa za kipropaganda zake vizuri. Isijeona tunaiogopa na ipate funzo kuwa sisi sio watu wa mchezo.

Andiko hili ni moja ya maandiko yangu yanayolenga kuzipa nguvu mitazamo ya vijana na kuibadili iwe bora bila woga.

Robert Heriel
Taikon Wa Fasihi.
0693322300

Mkuu IKWETA KONZO huyu Robert Heriel ni mwandishi mwenye credibility kweli?
Ashakum mkuu lakini naona kama haya maoni yamejaa assumptions, fantasies na wishful thinking za kitoto.
Marekani ni taifa lenye umri wa karibu nusu ya kikwe(millenia) na kwa zaidi ya karne tatu wakiiongoza dunia kwa innovations za sayansi na teknolojia.
Je, ni option yenye tija kuanza kupambana nao kwa ajili ya hisia zetu kuwa hawatutendei haki hata kama hizi hisia zinaibuliwa tu na tafsri potofu za habari zinazowahusu zaidi wao wenyewe na wananchi wao?
Yaani kuwaonya wananchi wao wanaosafiri sehemu mbalimbali duniani kuhusu uwepo wa elements hatarishi ndio na sisi tujibu mapigo kwa kuwafukuza? Alafu unamfukuza nani anyway, balozi, wawekezaji, mashirika ya misaada au watalii? Na kwa faida gani?
Hebu tuachane na irrational thinking au ndoto za mchana au ulevi au vyote.
P S. Ningependa kujua maana ya hilo neno ‘Taikon’ mkuu. Na suspect limetoholewa kutoka lugha ya ‘mabeberu’!
 
Mkuu IKWETA KONZO huyu Robert Heriel ni mwandishi mwenye credibility kweli?
Ashakum mkuu lakini naona kama haya maoni yamejaa assumptions, fantasies na wishful thinking za kitoto.
Marekani ni taifa lenye umri wa karibu nusu ya kikwe(millenia) na kwa zaidi ya karne tatu wakiiongoza dunia kwa innovations za sayansi na teknolojia.
Je, ni option yenye tija kuanza kupambana nao kwa ajili ya hisia zetu kuwa hawatutendei haki hata kama hizi hisia zinaibuliwa tu na tafsri potofu za habari zinazowahusu zaidi wao wenyewe na wananchi wao?
Yaani kuwaonya wananchi wao wanaosafiri sehemu mbalimbali duniani kuhusu uwepo wa elements hatarishi ndio na sisi tujibu mapigo kwa kuwafukuza? Alafu unamfukuza nani anyway, balozi, wawekezaji, mashirika ya misaada au watalii? Na kwa faida gani?
Hebu tuachane na irrational thinking au ndoto za mchana au ulevi au vyote.
P S. Ningependa kujua maana ya hilo neno ‘Taikon’ mkuu. Na suspect limetoholewa kutoka lugha ya ‘mabeberu’!
Ameandika kwa hisia hasi ajui chochote nadharia ya uhalisia
 
Back
Top Bottom