Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,333
- 10,951
Wakipigwa tano musianze kuwatafuta wanacheza ligi gani?Kuna MTU Leo huko kakutana na mwanaume Kama Ihefu
Wakipigwa tano musianze kuwatafuta wanacheza ligi gani?Kuna MTU Leo huko kakutana na mwanaume Kama Ihefu
Siyo sudan, sema Sudan ya kusini, timu ambayo kwa Tanzania hata ligi ya mkoa haiwezi kushindana
Wasudan walikuwa na ugwadu sana
Hayatuhusu wafungeni tuWakipigwa tano musianze kuwatafuta wanacheza ligi gani?
Niliwaambia juzi Yanga wanacheza kama YatimaSiyo sudan, sema Sudan ya kusini, timu ambayo kwa Tanzania hata ligi ya mkoa hauwezi kushindana
1 - 1 ( 67')Kila niki type Jamus inakuja James...Hizi smartphone....!
Update Vipi hukoo?
Wanaweza kushinda, Wacha tuoneNiliwaambia juzi Yanga wanacheza kama Yatima
Mbona dakika zinayoyoma mkuu hizo tano zitapatikana kweli!!Wakipigwa tano musianze kuwatafuta wanacheza ligi gani?
Hauna akili wewe na utabakia hivyo hivyo njaa zinakufanya ugombane na mtu usie mjua hao ulio wataja ni mabwana zako au ???? Kuhusu kumshona kamshone alie kuleta in world hijos de puta madreLazima tuwashone members kama wewe.
Saa nane usiku unakimbilia kuanzisha uzi harakaharaka ili uwe wa kwanza.
Jifunze kwa kina OKW BOBAN SUNZU jifunze kwa kina Scars jinsi wanavyoanzisha nyuzi kama hizi.
Hata kama hukua na habari juu ya mechi husika basi, unakipata kila kitu papo hapo pasi na kuscrow au kuuliza.
Na siwezi kuona wivu, nione wivu kwa kuanzisha uzi kipuuzi puuzi namna hii.
Next time ukileta uzi wa namna hii na nikiuona basi tegemea comment yangu, eidha kusifu, kukosoa au kuchangia ulichokileta.
Tunasubilia penaltyYanga msijali,watabana lkn wataachia tu
JKU timu ngumu sana hiyoMnakutana na vilema kelele kibaoo,nyie mngavaana na JKU taifa lingepata aibu
Wabarabaig wa sudani kusini wamebana badoHalijapatikana hata La Kujifunga?
Hata wewe ulivyopigwa 5 ulikuwa kilema😂😁Mnakutana na vilema kelele kibaoo,nyie mngavaana na JKU taifa lingepata aibu