FT: Tabora United 0 - 1 Young African SC | Jamhuri Stadium-Dodoma | NBC Premier League | 23.12.2023

View attachment 2850587

🔰 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 DAY🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Tabora United Vs Young Africans SC
📆 23.12.2023
🏟 Jamhuri, Dodoma
🕖 1:00 Usiku

Game yakufunga Mwaka hii.

All the Best Young African SC.

#Daimambelenyumamwiko#

Kikosi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2850916

Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
View attachment 2850918


Mpira Umeanza
Tabora ndio wameanza sasa.
Mpira umeanza kwa kasi kidogo.

Ibrahim Bacca anafanyiwa faulu

03'
Tabora wanarusha mpira unatoka tena.
Wanarusha Yanga.

05'
Yanga wanapiga kona yao haizai matunda.
Wakati huo Musonda anapiga free header lakini inatoka nje.

07'
Tabora United wanapata kona hapa.
Anapiga mpira unatolewa nje tena.
Inakuwa kona ya pili.
Musonda anaondoa hatari.

20'
Yanga wanapata faulu nje kidogo ya 18
Ameipiga Aziz K.
Imejaa ndani.
Ni goli.
Yanga wanapata goli lakuongoza hapa.

Mchezo unaendelea

26'
Tabora United 0 - 1 Yanga.

28'
Bikoko wa Tabora anapewa kadi ya Njano kwa kumchezea rafu Aziz K.
Inapigwa faulu nje kidogo ya 18.
Kipa anataoa inakuwa kona.
Inapigwa kona fupi haizai matunda.

33'
Tabora United wanamiliki mpira kidogo hapa.
Wanapata kona.
Inapigwa wananchi wanaondosha mpira kwenye eneo la hatari.


36'
Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18.
Anapiga Aziz K.
Kipa anaitoa.
Inakuwa kona inapigwa haileti madhara.
Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano

45+2'
Tabora wanapata faulu nje kidogo ya 18.
Wakati huo Mchezaji wao yuko Chini anapatiwa matibabu.
Inapigwa faulu haileti madhara.

Half Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga.

63'
Yanga wanafanya mabadiliko
Musonda Out
Mzize Inn.

Pacome Inn
Moloko Out

Full Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga
Point 3 clear safiii sanaaa
 
Nilitegemea kukuta coment 600 uko kumbe makolo walishapoteana toka mchana wanachungulia uzi wanasonyaaa uko kwa pembeni

 
Wala hii mechi haikuwa na maajabu yoyote, kwa 'ubora' wenu tulitegemea hao mjipigie kuanzia tatu, tunashangaa tu imekuwaje mmeishia moja mpaka tumekuwa speechless
Wewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?
 
Back
Top Bottom