Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,338
- 83,786
Lazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tuMpira umekwisha.
Makolo yanashangaa
Lazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tuMpira umekwisha.
Makolo yanashangaa
Jifunze kuwa na adabu kwa baba zakoWewe binti tafuta mme akuoe.
Jifunze kuwa na adabu kwa baba zakoWewe binti tafuta mme akuoe.
Pole sana Jirani. 😀
Ndo ujiulize sasa kama huyu ni kibonde, vipi yule aliyekula 5Lazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tu
Kabisa. Wako vizuri.Hii timu sio yakubeza aisee
Point 3 zimechukuliwaHaha vipi mlitegemea tano au
Point 3 clear safiii sanaaaView attachment 2850587
🔰 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 DAY🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Tabora United Vs Young Africans SC
📆 23.12.2023
🏟 Jamhuri, Dodoma
🕖 1:00 Usiku
Game yakufunga Mwaka hii.
All the Best Young African SC.
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2850916
Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
View attachment 2850918
Mpira Umeanza
Tabora ndio wameanza sasa.
Mpira umeanza kwa kasi kidogo.
Ibrahim Bacca anafanyiwa faulu
03'
Tabora wanarusha mpira unatoka tena.
Wanarusha Yanga.
05'
Yanga wanapiga kona yao haizai matunda.
Wakati huo Musonda anapiga free header lakini inatoka nje.
07'
Tabora United wanapata kona hapa.
Anapiga mpira unatolewa nje tena.
Inakuwa kona ya pili.
Musonda anaondoa hatari.
20'
Yanga wanapata faulu nje kidogo ya 18
Ameipiga Aziz K.
Imejaa ndani.
Ni goli.
Yanga wanapata goli lakuongoza hapa.
Mchezo unaendelea
26'
Tabora United 0 - 1 Yanga.
28'
Bikoko wa Tabora anapewa kadi ya Njano kwa kumchezea rafu Aziz K.
Inapigwa faulu nje kidogo ya 18.
Kipa anataoa inakuwa kona.
Inapigwa kona fupi haizai matunda.
33'
Tabora United wanamiliki mpira kidogo hapa.
Wanapata kona.
Inapigwa wananchi wanaondosha mpira kwenye eneo la hatari.
36'
Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18.
Anapiga Aziz K.
Kipa anaitoa.
Inakuwa kona inapigwa haileti madhara.
Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano
45+2'
Tabora wanapata faulu nje kidogo ya 18.
Wakati huo Mchezaji wao yuko Chini anapatiwa matibabu.
Inapigwa faulu haileti madhara.
Half Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga.
63'
Yanga wanafanya mabadiliko
Musonda Out
Mzize Inn.
Pacome Inn
Moloko Out
Full Time.
Tabora United 0 - 1 Yanga
Bao tano hua ni special packageLazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tu
akikujibu aje nimpe 10kNdo ujiulize sasa kama huyu ni kibonde, vipi yule aliyekula 5
Ihefu hua ni mtegoVipi na yule aliyefungwa na ihefu ambaye kila timu inajipigia tu
Wewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?Wala hii mechi haikuwa na maajabu yoyote, kwa 'ubora' wenu tulitegemea hao mjipigie kuanzia tatu, tunashangaa tu imekuwaje mmeishia moja mpaka tumekuwa speechless
Balaaa jamaa hawachoki walipania sana sana inaonekanaTumeshinda ila cha moto tumekiona