Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,310
- 54,828
Nadhangaa kwanini wamefungia VAR, ingekata ngebe na ukiritimbaRefa huyu asipofungiwa nitashangaa, penati mbili zote za wazi. Na BODI YA LIGI ikiwa ina endelea na trend hii ya kuwafungia waamuzi ipo siku Voimanda atakuwa refa wa kati. VAR walileta wakaziweka stoo ili ziwe makazi ya panya?