ligi kuu ya nbc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dabi ya Kariakoo Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/2027 kupigwa Oktoba 10, 2026

    Baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 12, 2026 wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC na Simba SC, timu hizo mbili zitaendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2026/2027. Yanga SC itasafiri kuelekea Ruangwa, Lindi, ambapo Agosti 15, 2026 itacheza dhidi ya Namungo FC katika mchezo...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Nashauri iundwe 'Yanga Law'; timu itakayokaidi kutumia 'Vyumba rasmi vya kubadilishia Nguo' ipokwe alama tatu na kutozwa faini ya Tsh. Milioni 50

    Wakuu! Bila shaka msimu wa 2025/26 wa Ligi Kuu ya NBC umetoa funzo na mwelekeo wa namna ya kuboresha kanuni za mashindano kuelekea msimu wa 2026/27 ili kuongeza nidhamu, ushindani na hadhi ya ligi. Kuna Matukio ya kukomewshwa ili kuondokana na uswahili ambao unaifanya Ligi yetu kuwa bora zaidi...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Mashujaa FC 0-3 Simba SC l Ligi Kuu ya NBC l Lake Tanganyika l 14.05.2026. Yanga na Simba tofauti sasa ni pointi 2

    Licha ya kuwa timu ngumu inapocheza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa FC imekubali kupoteza kwa magoli 3-0 dhidi ya Simba ambayo imeendelea kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuutafuta ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Simba imebaki katika nafasi ya pili ikwa na pointi 52 katika michezo 23 nyuma...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Kwa mara ya kwanza timu ya Yanga imepoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2025/26 mbele ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Airtel, Singida, leo Mei 13, 2026. ######### Yanga yupo uwanjani tena kuzisaka alama 3 dhidi ya Dodoma Jiji. Je ni Dodoma Jiji au Yanga kuondoka na alama 3 ...
  5. Holoholo

    JamiiForums Tanzania FT: Tanzania Prisons SC 0-1 Yanga SC | Ligi Kuu ya NBC | Kwa Yanga Hii Mtasubiri Sana

    Yanga kama kawaida imeendeleza makali na kubaki kileleni katika Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons ya Mbeya Goli 1-0 kwenye Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, leo Machi 12, 2026, hivyo kufikisha pointi 35 katika mechi 13. ============ Wakali, vinara, mabingwa wa kihistoria na...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Singida BS 1-2 Simba SC | Ligi Kuu ya NBC | Singida wametepeta!

    Matokeo: Singida Big Stars Goli: Mossi Ndumumwe 38 Simba SC Goli: Anicet Oura 07 Goli: Elie Mpanzu 85 📍 Uwanja wa Airtel, Singida Baada ya ushindi huo Simba kupitia ukurasa wao wa Instagram wameandika "Tumekula ndugu wa ile famili", ambapo timu hiyo imefikisha alama 27 katika michezo 12...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga 5-0 JKT Tanzania | Ligi kuu ya NBC | KMC Complex | 25 Februari, 2025

    Yanga 5 VS JKT Tanzania 0 | Ligi kuu ya NBC | KMC Complex | 25 Februari, 2025 Mechi ipo live Salama zinatumwa Game over Yanga asimamisha Mnara wa 5G kwa JKT Tanzania Magoli ya Yanga yamefungwa na Mohamed Hussen, Depu, Dube, Mudathir na Shekhan
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Hafla ya Tuzo za TFF (TFF Awards 2024/25) kufanyika mwanzoni mwa mwezi Desemba 2025

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewatangazia wadau wa mpira wa miguu na umma kwa ujumla kuwa Hafla ya Tuzo za TFF 2025 itafanyika mwanzoni mwa mwezi Desemba. Soma > Mwenye taarifa ni lini bodi ya ligi na TFF watatoa tuzo za msimu wa 2024/2025 Tarehe rasmi ya hafla hiyo, ambayo...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania TFF, TPLB na JUSTFIT wazindua Mpira rasmi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwa kushirikiana na Bodi ya Ligi (TPLB) na Kampuni ya JUSTFIT, leo Septemba 22, 2025 wamezindua rasmi mpira maalumu utakaotumika katika michezo yote ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026. Mpira huo, ambao umebuniwa na msanii na mbunifu maarufu Masoud Kipanya...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania, Msimu wa 2025/26, Kariakoo Dabi ya kwanza kupigwa Desemba 13, Yanga wenyeji

    Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026 inatarajia kuanza Septemba 17, 2025. Mechi za ufunguzi zitakuwa ni KMC FC itacheza dhidi ya Dodoma JIJI FC pale KMC COMPLEX na Coastal Union dhidi ya Tanzania Prisons, Mkwakwani Tanga. Manguli wa soka la Bongo Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa kwanza...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC kuanzia Septemba 16, 2025

    Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2025/2026 inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 16, 2025, ambapo mashabiki wa soka nchini watashuhudia tena ushindani mkali miongoni mwa vilabu vikubwa na vidogo, huku kila timu ikisaka pointi muhimu kuanzia hatua za mwanzo za ligi hiyo maarufu nchini Tanzania. Sasa...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mchanganuo wa zawadi za fedha kwa Timu za Ligi Kuu NBC 2024/2025: Mambo yanaweza kubadilika kwa Yanga na Simba

    Mchangauo wa zawadi za fedha kwa timu shiriki za Ligi Kuu ya NBC - Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025, ambapo kila timu itapokea zawadi kulingana na nafasi iliyoishika kwenye msimamo wa mwisho wa Ligi. Mambo yanaweza kubadilika kwa Yanga na Simba endapo mchezo wa jioni ya leo Simba akishinda...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu ya NBC kuendelea leo Timu zote 16 kukipiga wakati mmoja

    Ligi kuu tanzania bara itaendelea leo majira ya saa 10:00 jioni katika viwanja mbalimbali Mechi za Simba na Yanga kuamua hatma ya ubingwa.
Back
Top Bottom