FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

Nitaendelea kusema huyu Benchikha hana tofauti na Matole afadhali na mzee wa pira objective.... Simba inamtegemea chama akiwa kwenye siku zake 😅😅🤣🤣
Waambie waache kumfananisha na PACOME.
Sema na wewe uwe na adabu, siku zake tena?
 
Nitaendelea kusema huyu Benchikha hana tofauti na Matole afadhali na mzee wa pira objective.... Simba inamtegemea chama akiwa kwenye siku zake 😅😅🤣🤣
Matusi sio mazuri mdau
 
Back
Top Bottom