Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 63,256
- 158,898
Umeona eehh!!Mbona wako vizuri tu.kumbuka wako ugenini.Simba ndio wa ovyo kwasababu walitakuwa wapige goli za mapema.Wanacheza utafikiri wana magoli mengi bila kujua ako kamoja lolote linaweza kutokea.
Sent using Jamii Forums mobile app