Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Asec Mimosas ya Ivory coast ilichukua caf champions league mwaka 1998 mwaka ambao pia Yanga ya TZ. Ilishiriki.
Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa cafcl na kombe la washindi barani Africa Bado Niko chimbo hapa Tanganyika library natafuta idadi ya makombe ya Africa waliyoçhukua Simba sc
Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa cafcl na kombe la washindi barani Africa Bado Niko chimbo hapa Tanganyika library natafuta idadi ya makombe ya Africa waliyoçhukua Simba sc