Asec Wana makombe mawili ya Africa

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
Asec Mimosas ya Ivory coast ilichukua caf champions league mwaka 1998 mwaka ambao pia Yanga ya TZ. Ilishiriki.

Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa cafcl na kombe la washindi barani Africa Bado Niko chimbo hapa Tanganyika library natafuta idadi ya makombe ya Africa waliyoçhukua Simba sc
 
Asec Mimosas ya Ivory coast ilichukua caf champions league mwaka 1998 mwaka ambao pia Yanga ya TZ. Ilishiriki.

Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa cafcl na kombe la washindi barani Africa Bado Niko chimbo hapa Tanganyika library natafuta idadi ya makombe ya Africa waliyoçhukua Simba sc
Ukishafakamia uji wa mhogo unaiota Simba tu mbona husemi timu za kwenu
 
Asec Mimosas ya Ivory coast ilichukua caf champions league mwaka 1998 mwaka ambao pia Yanga ya TZ. Ilishiriki.

Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa cafcl na kombe la washindi barani Africa Bado Niko chimbo hapa Tanganyika library natafuta idadi ya makombe ya Africa waliyoçhukua Simba sc
Makombe ya mwakarobo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom