Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 1,684
- 2,343
Kweli, ni zaidi mno ya SudanAlooh Zambia Kuna mpira.
Kweli, ni zaidi mno ya SudanAlooh Zambia Kuna mpira.
Hahaha wasituvuruge watuache...tuone mpk mwisho...Leo upo na unakaba mpaka penati. Huwa nafurahi sana ukiwepo maana amsha amsha yako si ya kitoto aisee 😁😁😁
Mpira hauchezwi mdomoniTry Again si ndo kasema leo ndo sumba halisi anacheza
Tuseme basi ndio aina ya ucheziji wa simba kwa sasa, Hawana kasi na kupoteza mipira ndio jadiUkisema hawajitumi sidhani kama ni sahihi. Kwa uharaka unaona miili ya wachezaji imekosa 'Sharpness' kwa kukosa mechi za kimashindano muda mrefu.
Lakini, naamini hii mechi Simba anapata matokeo.
Usajiri uko vizuri tatizo la Simba ni kocha, Simba haina kocha mwenye mbinu uyu mzee hawezi kuifikisha Simba popote,na kwa mpira huu safari ya Simba imeishia hapa.MAKOSA YA KIUFUNDI YA USAJILI SIMBA.
NILIISHA SEMA.
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na MSOMI WA...www.jamiiforums.com
Wanaciiiimba (Ahmed Ally voice)Wanashiba mno hawana masimango..ukisimangwa lazima umuonyeshe tajiri ww ni nani 🤣🤣
Humo hamna kocha ..Simba Hii ROBERTNO mbona ipo SLOW....
kweli mshalambwa mkia tayari au ubuyu wa Tandika huu????Kiukweli hii timu yetu haichezi mpira wa kuridhisha, wachezaji hawajitumi, hakuna mbinu zozote zinazoonekana, kocha amekalili wachezaji na kusababisha wachezaji wengine wasijue wamesajiliwa kwenye timu kufanya nini.
Simba ina wachezaji wazuri endapo wataamua kujituma, haijarishi kocha atakua vipi ila uwezo wa wachezaji unaweza kuibeba timu. Wabadirike
Hii timu inaumiza sana.
Navaa viatu vya Mo dewj.
Nguvu mojaaaaaaaaaWanaciiiimba (Ahmed Ally voice)
Wasiwasi kama atakuja na huko Rwanda?Refa napata Wasiwasi