chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,662
- 3,198
Ukisema hawajitumi sidhani kama ni sahihi. Kwa uharaka unaona miili ya wachezaji imekosa 'Sharpness' kwa kukosa mechi za kimashindano muda mrefu.Phiri na Kanute watoke nje, weka Baleke na Luis.
Lakini zaidi, Simba hawajitumi, tatizo ni nini?
Wanacheza kifaza mnoo.
Lakini, naamini hii mechi Simba anapata matokeo.