Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,328
Jamaa linapapara za kipuuziNikisema kibu D atoke mnanielewa sasa
Jamaa linapapara za kipuuziNikisema kibu D atoke mnanielewa sasa
Mpira ulikuwa umetoka. Wachezaji wa simba kama wangelalamika fasta, refa angelazimika kuangalia VAR na goli lisingekubaliwa. Simba walipigwa na bumbuazi, na kwa kawaida kama waliofungwa hawalalamiki refa naye anaminya!!Nimeangalia Goli La Simba Katika Marejeo Ya Picha. Tuachane na Mpira Kutoka, Ila Kanoute Amechoka, Kuanzia Move Inapotengenezwa Hadi Goli Linapo Fungwa Yupo na Anaenda Tuu anaangaliaEnzi zile Kanoute Hata Kabla Pass haijatolewa anagekuwa ameshalala na Yule Jamaa
Hili Goli Kanout baada ya Kuona Onana Kaanguka Alitakiwa kuziba nafasi Harakaaaa, Basi kachelewa lakini kamkuta Jamaa na Kamsindikiza Hadi anatoa Pass![]()
Bora usielewe maana ukielewa utakasirikaSijaelewa pale beki walifanyaje
Atoke bhana anatukosesha nafas nyingi za waziHahahahhaha..msimpe jaka moyo jamani na yeye ana familia
Pasi zake pia hazifiki vzrJamaa linapapara za kipuuzi







