FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

Nimeangalia Goli alilo fungwa Simba Katika Marejeo Ya Picha. Tuachane na Mpira Kutoka, Ila Kanoute Amechoka, Kuanzia Move Inapotengenezwa Hadi Goli Linapo Fungwa Yupo na Anaenda Tuu anaangalia Enzi zile Kanoute Hata Kabla Pass haijatolewa anagekuwa ameshalala na Yule Jamaa

Hili Goli Kanout baada ya Kuona Onana Kaanguka Alitakiwa kuziba nafasi Harakaaaa, Basi kachelewa lakini kamkuta Jamaa na Kamsindikiza Hadi anatoa Pass
 
Baleke kaingia

Phiri ametoka

Ngoma ameingia

Kanoute ametoka
 
Ni

kweli mshalambwa mkia tayari au ubuyu wa Tandika huu????
Matokeo ya mechi ya Leo hayatabidiri chochote kuhusu nilichokiandika

Uwezekano wa kushinda Bado upo ila ukweli ndio huo
 
Nimeangalia Goli La Simba Katika Marejeo Ya Picha. Tuachane na Mpira Kutoka, Ila Kanoute Amechoka, Kuanzia Move Inapotengenezwa Hadi Goli Linapo Fungwa Yupo na Anaenda Tuu anaangalia Enzi zile Kanoute Hata Kabla Pass haijatolewa anagekuwa ameshalala na Yule Jamaa

Hili Goli Kanout baada ya Kuona Onana Kaanguka Alitakiwa kuziba nafasi Harakaaaa, Basi kachelewa lakini kamkuta Jamaa na Kamsindikiza Hadi anatoa Pass
Siku hazifwananiii...
 
Nimeangalia Goli La Simba Katika Marejeo Ya Picha. Tuachane na Mpira Kutoka, Ila Kanoute Amechoka, Kuanzia Move Inapotengenezwa Hadi Goli Linapo Fungwa Yupo na Anaenda Tuu anaangalia Enzi zile Kanoute Hata Kabla Pass haijatolewa anagekuwa ameshalala na Yule Jamaa

Hili Goli Kanout baada ya Kuona Onana Kaanguka Alitakiwa kuziba nafasi Harakaaaa, Basi kachelewa lakini kamkuta Jamaa na Kamsindikiza Hadi anatoa Pass
Goli la Simba? Kwani Simba kashinda?
 
51'

Freekick wanapata Power Dynamo eneo baya sana hili kwa Simba
 
Back
Top Bottom