HahahahahaAlikukimbiza wewe na tff yako
Mganga wenu ndiye aliwakimbiza saa 11Dhambi ya kukimbia Darby inawaandama
Ingekuwa hivyo tungeanza kumchomea aliyewapa penati siku tunacheza mechi ya kwanzaHawa waamuzi mmoja akichomewa nyumba hivi watakuwa na adabu, Shenzi kabisa
Kabisa GSM anawavuruga sana Utopolo sema hawajashtuka tuYule sio mwekezaji mpigajii tu
yanga inahujumiwa kila mahali
Kamuulize MsomaliChukwu emeka mbona hukulalamika wakati Yakouba anafunga offside dhidi ya Biashara na Prison wananyimwa clear penalty?
Mwekezaji gani hana dira hana mpangoKabsa GSM anawavuruga sana Utopolo sema hawajashtuka tu
Amna sisi saa kumi na mbili jion lazima tungewaweka goal za kutoshaMganga wenu ndiye aliwakimbiza saa 11
Mkuu kunywa Panadol.Hapa ni kuanzisha vita tu na waamuzi, akizingua nayeye anapewa dawa,shenzi
Wote hata Jonisia ilitakiwa achomewe pia penalty ya Kagere, hawa ndiyo watakuwa na adabuIngekuwa hivyo tungeanza kumchomea aliyewapa penati siku tunacheza mechi ya kwanza
Hujajibu swali 😂😂Kamuulize Msomali
Bora mkimbie nchi tu.Hizi ndiyo akili za kimbumbumbu alikotaa Rage
Sijawahi kusikia malengo ya Muwekezaji Wa yanga zaidi ya kujitapa atavunja bank ooh nitasajili wachezaji kutoka ligi 5 bora African brabra nyingiMwekezaji gan hana dira hana mpango