mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 684
- 1,462
3G wanaonekana wanaweza kuwaweka bao hawa 5G
Hili la kwenye profile yako umelivalisha hadi koti lipo tayari kutumwa kwenye mechi club bingwa.Kiukweli kuangalia simba ya miaka ya hivi karibuni ikicheza huwa ni mateso kweli, hakuna ladha ya football, ni kusubilia goli lifungwe ki ndondokela basi kisha mrudi nyumban
Jini ndani ya mkoti wa kimiso misondo...Hili la kwenye profile yako umelivalisha hadi suti lipo tayari kutumwa kwenye mechi club bingwa.
Kwanini wengine hatuoni..au kashalambwa kajini kichaa... 😂 😂 😂 😂Mzamiru kama vile amechanganyikiwa
Tayari kashatupiw jini na YangaMzamiru kama vile amechanganyikiwa
Limetulia linapokea maelekezo nini cha kufanya kwa washambuliaji.Jini ndani ya mkoti wa kimiso misondo...
Nini ulitaka kusema mwana lunyasi ? Jini au nimeropoka ?Hili la kwenye profile yako umelivalisha hadi koti lipo tayari kutumwa kwenye mechi club bingwa.
View attachment 2901806
Age gone huyoTulikuwa tunalalamika bure.
Yani Bora Mzamiru awe anaanzia tu nje
Mshaanza lawama match haijaishaTulikuwa tunalalamika bure.
Yani Bora Mzamiru awe anaanzia tu nje