kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,225
- 17,649
Mambo vipi wadau! Leo ni siku ya kipekee kwani tunasubiri fainali ya FIFA Club World Cup 2025 kati ya Chelsea na Paris Saint-Germain (PSG) itakayochezwa saa nne usiku (10:00pm EAT) kwenye dimba la MetLife Stadium, New Jersey.
Hii ni mechi ya kihistoria, kwani ni fainali ya kwanza kati ya timu mbili za Ulaya katika toleo hili lililopanuliwa la michuano hii.
Nitakuwa hapa kuwapa updates za hii game.
Najua kuna uzi generally kwa mechi hizi ila kwa upekee wa fainali tuwe na uzi separate.
VIKOSI VYA LEO.
1. CHELSEA
2. PARIS SAINT-GERMAIN
22'
Chelsea wanapata goli safi sana kupitia kwa Cole Palmer.
1-0
30'
Cole Palmer goli la 2.
2-0
42'
Pedro anaipatia Chelsea Goli 3.
3-0