FT: CAFCL Group Stage: Young Africans 1-0 Far Rabat | New Amani Complex | 22/11/2025

FT: CAFCL Group Stage: Young Africans 1-0 Far Rabat | New Amani Complex | 22/11/2025

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
112
Reaction score
392
Mabingwa wa Tanzania, Yanga leo wanaanza kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Far Rabat ya Morocco katika mechi ya kwanza ya group B, katika mechi itakayochezwa kwenye uwanja wa Amani Complex, Zanzibar
Screenshot_20251122_122046_Instagram.jpg

Screenshot_20251122_083036_Instagram.jpg
 
Far Rabat tunashinda kishindo cha CCM
 
Far Rabat tunashinda kishindo cha CCM
 
Update muhimu wadau huku kwetu ikifikaga gemu za yanga tu wanakata umeme kutukomoa,geita vijijini tanesco ni wasenyenge sana kmmmmke zao
 
Back
Top Bottom